Ukombo Mongi
Member
- May 21, 2013
- 72
- 14
Habari zilizonifikia ni kwamba, wapiga kura wote waliopokea chochote kutoka CCM Arusha na kugoma kuipigia CCM kura, watakumbwa na chungu hicho..ole wako kama ulipokea chochote, chungu kitakula familia yako..hatari..:love: