Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,401
- 271,862
ushirikina ndiyo njia pekee iliyobaki kwa magamba hasa baada ya wananchi kuondoa woga hivyo kuendelea kumpuuza Chagonja .
Uchawi hauna nafasi ndani ya CCM. Acha kuchafua chama chetu kijana!
Juzi ktk kituo cha kupiga kura ktk shule ya msingi Themi wakati wa kupiga kura tulimkuta kada wa ccm na green guards wakimlinda mzee mmoja anayesadikiwa ni gagula ambapo ktk njia panda husika mzee uyo alionekana akifanya mambo ya ajabu kama kupasua nazi na kunuwia maneno fulani yasiyoeleweka wakiamini kuwa ccm huenda ingeshinda kwa uchawi lakini ikwa ndivyo sivyo.