Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,650
- 6,085
Si kwa taasisi hizo pekee, bali pia watu wenye majina na hadhi katika jamii walioshiriki au kuingizwa kwenye mkakati ulioandaliwa kwenye mdahalo wa leo Chuo Kikuu Dar es Salaam, wakiwemo baadhi ya wachangizaji maada!
Hatuwezi kukaa kimya iwapo inafikia mahali CCM wanatumia kidhalili taasisi za elimu tena zinazohusiana na kiwango cha chuo kikuu kwa kiwango kinachotaka kufanyika leo.
Ilianza kama tetesi. Lakini sasa ni dhahiri with facts, kuwa mmoja wa viongozi wa juu wa UDASA mwenye uhusiano wa kikazi na CCM, ameshirikiana na chama hicho kukodi vijana kwenda Ukumbi wa Nkrumah, UDSM kwenye mdahalo unaorushwa live na Star TV.
Ingelikuwa jambo la heri na labda kujivunia iwapo UDASA ingeingizwa Kwenye mchezo huo mchafu na aibu kwa wasomi, wanataaluma na wanazuoni, endapo tu vijana hao wangekodiwa kwenda kujifunza au kutoa mchango wao kama Watanzania.
The shameful condition is...vijana hao wengi kutokea maeneo ya Buguruni, Dar ea Salaam, waliokodiwa kwa kulipwa hela na kubebwa kwa kutumia mabasi ya ile kampuni ya umma iliyouzwa kifisadi, wamechukuliwa kwa kazi moja tu, kwenda kuzomea! That is shameful...could have been a last thing to be done by an institution like UDASA to its breathing the last!
This is how you honour people like Prof. Chachage or Prof. Haroub or Walter?
This is how you guys at UDASA in collabo with the regime of the day now are transforming the Walters', Chachage's or Haroub's dreams for this country through serious discussion and debates at the Hill?
Mkakati huo wa CCM na ki-CCM umelenga kutaka kuweka precedence (bad of course) na kulazimisha hoja za CCM za kuchakachua Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya wakati BMK linakwenda kuanza Agosti 5, mwaka huu!
Umepangwa kwa namna ile ile ulivyopangwa mkakati ule uliofanywa na Serikali ya CCM kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kukodi vijana waliokwenda kutukana matusi ya ajabu hadi kuwatakia kifo akin a Mzee Warioba na wenzake kwenye Tume ya Mabadiliko!
It becomes even more shameful when it involves those whom, we, the people of this noble nation, could trust them as intellectuals of our times!
Wangelikuwa wamefanya CCM kama ambavyo wananchi wamewazoea (kuhonga na kubeba watu kwenda kwenye shughuli yoyote ikiwemo mikutano yao tusingehangaika. Maana ni sawa na kumtoa samaki majini kisha ukategemea aishi!
Kuhusisha taasisi ya wanataaluma na wanazuoni, tena chuo kikuu ni aibu ambayo hakuna Mtanzania makini atainyamazia.
Waacheni watu watoe maoni yao naturally na automatically! Yawe ni ya kuunga mkono UKAWA au CCM au kutounga upande wowote! Kwanini kupanga au kuleta mercenaries kwenye midahalo au majadiliano! Kwanini CCM haioni aibu kujianika wazi kila siku kuwa imeporomoka na haina kabisa ushawishi wa kisiasa tena kwa Watanzania!
Tutaweka facts zaidi...
Wasalaam
Makene
Hatuwezi kukaa kimya iwapo inafikia mahali CCM wanatumia kidhalili taasisi za elimu tena zinazohusiana na kiwango cha chuo kikuu kwa kiwango kinachotaka kufanyika leo.
Ilianza kama tetesi. Lakini sasa ni dhahiri with facts, kuwa mmoja wa viongozi wa juu wa UDASA mwenye uhusiano wa kikazi na CCM, ameshirikiana na chama hicho kukodi vijana kwenda Ukumbi wa Nkrumah, UDSM kwenye mdahalo unaorushwa live na Star TV.
Ingelikuwa jambo la heri na labda kujivunia iwapo UDASA ingeingizwa Kwenye mchezo huo mchafu na aibu kwa wasomi, wanataaluma na wanazuoni, endapo tu vijana hao wangekodiwa kwenda kujifunza au kutoa mchango wao kama Watanzania.
The shameful condition is...vijana hao wengi kutokea maeneo ya Buguruni, Dar ea Salaam, waliokodiwa kwa kulipwa hela na kubebwa kwa kutumia mabasi ya ile kampuni ya umma iliyouzwa kifisadi, wamechukuliwa kwa kazi moja tu, kwenda kuzomea! That is shameful...could have been a last thing to be done by an institution like UDASA to its breathing the last!
This is how you honour people like Prof. Chachage or Prof. Haroub or Walter?
This is how you guys at UDASA in collabo with the regime of the day now are transforming the Walters', Chachage's or Haroub's dreams for this country through serious discussion and debates at the Hill?
Mkakati huo wa CCM na ki-CCM umelenga kutaka kuweka precedence (bad of course) na kulazimisha hoja za CCM za kuchakachua Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya wakati BMK linakwenda kuanza Agosti 5, mwaka huu!
Umepangwa kwa namna ile ile ulivyopangwa mkakati ule uliofanywa na Serikali ya CCM kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kukodi vijana waliokwenda kutukana matusi ya ajabu hadi kuwatakia kifo akin a Mzee Warioba na wenzake kwenye Tume ya Mabadiliko!
It becomes even more shameful when it involves those whom, we, the people of this noble nation, could trust them as intellectuals of our times!
Wangelikuwa wamefanya CCM kama ambavyo wananchi wamewazoea (kuhonga na kubeba watu kwenda kwenye shughuli yoyote ikiwemo mikutano yao tusingehangaika. Maana ni sawa na kumtoa samaki majini kisha ukategemea aishi!
Kuhusisha taasisi ya wanataaluma na wanazuoni, tena chuo kikuu ni aibu ambayo hakuna Mtanzania makini atainyamazia.
Waacheni watu watoe maoni yao naturally na automatically! Yawe ni ya kuunga mkono UKAWA au CCM au kutounga upande wowote! Kwanini kupanga au kuleta mercenaries kwenye midahalo au majadiliano! Kwanini CCM haioni aibu kujianika wazi kila siku kuwa imeporomoka na haina kabisa ushawishi wa kisiasa tena kwa Watanzania!
Tutaweka facts zaidi...
Wasalaam
Makene