Chama Cha MaGraphicDesigner CCM.
Scott Thomas alikuwa graphic designer kwenye media team ya Obama wakati wa campaign , kuna tatizo!?
Kampeni ni kujipanga, ki tekinolojia zaidi!
Wamebase sana huko kuliko kwenye kuwatumikia wananchi...
Mbowe,lema na Mnyika wamewatumikia wananchi?
Kuendeleza kwao vita dhidi ya ufisadi na kuwawajibisha mafisadi ni mojawapo ya kuwatumikia wananchi..