Chama Cha Kijamii
Member
- Jan 29, 2012
- 39
- 38
- Thread starter
-
- #61
Mkuu waulize wanajua walivyotendewa viongozi wa late ccj aka cck? hiki chama ni ubabaishaji mtupu na njaa tupu, nikiambiwa nikilinganishe na usafiri gani nitakifananisha na bodaboda ambayo huamini kama safari utaifika salama au
Hakuna kitu, utapeli mtupu, wanaJF msidanganyike na hawa jamaa maana walipokuwa ccj tulifanya nao kazi nzuri sana na kutengeneza mtandao mzuri mno, na tukapata wanachama maelfu kwa gharama zetu bila hata shilingi kumi yao, tukahatarisha maisha yetu maana tulikuwa tunawindwa sana na ccm A maana hii ilikuwa ccmB kabla haijaporwa nafasi hiyo na cuf aka KAFU, tulitumia pesa zetu na gharama kubwa sana bila wao wenyewe kutuwezesha chochote, mwisho waanzilishi wakaamua kurudi kulamba viatu vya wakubwa!
Leo wanakuja na habari mpya, wala hawakumbuki utapeli wao! tuelewe CCK ni late CCJ, nashangaa sana M/kiti wake wa Taifa kipindi hicho na katibu wake walikuwa wanatupiga mizinga ya vocha, nauli, pesa ya kulipia guest house! mpaka leo hii nina sms zao kwenye cm yangu ya zamani ambayo sitataka kuitupa nimeiweka makumbusho maana ni aibu tupu. Ila mwenyekiti wake wa sasa Taifa sina sana tatizo naye japo alitakiwa aangalie walipoangukia na atubu. Enzi hizo alikuwa katibu mwenezi,.Mr Akitanda. Sidhani kama ni chama makini hiki.Huu ni ubabaishaji mpya kwa mbinu mpya, Nimechoka nawaasa hakuna haja ya kuhangaika nacho maana ni walewale tu hawa. walikosa usajili wakaondoa J wakaweka K, kitu ni kilekile hata katiba nahisi ni ileile.
Najua watanishambulia lakini wakifanya hivyo nitaweka mambo yao yote hapa.
Mmewahi sana hata watu hawawajui! Halafu nyie si mnasubiri watakaojitoa ccm?
cck kuishinda cdm arumeru!!!!! ajabu la nane la dunia
Hakuna kitu, utapeli mtupu, wanaJF msidanganyike na hawa jamaa maana walipokuwa ccj tulifanya nao kazi nzuri sana na kutengeneza mtandao mzuri mno, na tukapata wanachama maelfu kwa gharama zetu bila hata shilingi kumi yao, tukahatarisha maisha yetu maana tulikuwa tunawindwa sana na ccm A maana hii ilikuwa ccmB kabla haijaporwa nafasi hiyo na cuf aka KAFU, tulitumia pesa zetu na gharama kubwa sana bila wao wenyewe kutuwezesha chochote, mwisho waanzilishi wakaamua kurudi kulamba viatu vya wakubwa!
Leo wanakuja na habari mpya, wala hawakumbuki utapeli wao! tuelewe CCK ni late CCJ, nashangaa sana M/kiti wake wa Taifa kipindi hicho na katibu wake walikuwa wanatupiga mizinga ya vocha, nauli, pesa ya kulipia guest house! mpaka leo hii nina sms zao kwenye cm yangu ya zamani ambayo sitataka kuitupa nimeiweka makumbusho maana ni aibu tupu. Ila mwenyekiti wake wa sasa Taifa sina sana tatizo naye japo alitakiwa aangalie walipoangukia na atubu. Enzi hizo alikuwa katibu mwenezi,.Mr Akitanda. Sidhani kama ni chama makini hiki.Huu ni ubabaishaji mpya kwa mbinu mpya, Nimechoka nawaasa hakuna haja ya kuhangaika nacho maana ni walewale tu hawa. walikosa usajili wakaondoa J wakaweka K, kitu ni kilekile hata katiba nahisi ni ileile.
Najua watanishambulia lakini wakifanya hivyo nitaweka mambo yao yote hapa.
Cck-chama cha kisanii. Chairman-sita, gsecretary-mwakyembe, uenezi- nape, wajumbe - olesendeka, kilango, bi sherukindo, ngwajema na mpendazowe. Mfadhiri ni kingunge ngombare. Ngwajema anomba kuwa mweka hazina aongezee hama.
Cck-chama cha kisanii. Chairman-sita, gsecretary-mwakyembe, uenezi- nape, wajumbe - olesendeka, kilango, bi sherukindo, ngwajema na mpendazowe. Mfadhiri ni kingunge ngombare. Ngwajema anomba kuwa mweka hazina aongezee hama.
nadhani ulikuwa mmoja wao!
tumeichoka CDM,issue ya katiba ndo ilonifanya nikate tamaa na hawa wafanyabiashara wa siasa wa CDM,kwenda ikulu wakahongwa na kurudi bungeni kupitisha madudu yale waloyapinga mwanzo???? nini hii?? afadhali CCK ije arusha
natumai tutapata uhondo wa kusikiliza sera za chama kipya cha siasa tena cha vijana kama akina akitanda na wenzie,tunasubiri ustaarabu katika siasa
Mapandikizi ya CCM hayo mkuu wala usipoteze muda wako, hakuna chama hapo ni genge la wahuni wa kisiasa tu.Kwanini hamkwenda Uzini?
Ni hoja mbovu kama hizi ndizo nasikia baadhi ya watu wa Chadema wakijiandaa kuzitumia kumaliza chama kingine chochote ambacho kitaonekana tishio kwa safari yao ya kwenda Ikulu 2015. Wenye mikakati hii hawana ufahamu kwamba hoja hii inajenga kuliko kubomoa kwani kuna makundi makubwa tu ya wananchi wasio na tatizo na CCM, bali baadhi ya viongozi. Ndio maana leo hii viongozi walio safi ndani ya CCM wakihamia chadema, watapita kwa kishindo. Kwani hufahamu kwamba Mtei, Bob Makani, Mbowe, Slaa, at one point walikuwa wanachama wa CCM? Tujifunze Kujifunza.