tatizo liko kwa Msajili.. na watu hawataki kuona tatizo hilo kwa sababu wanapenda kweli tatizo lingekuwa kwa CCJ.
Nilikesha jana kufuatilia suala hili kutoka pande zote na jaribio la msajili ni "kufanya uhakiki hewa" wakati tayari ameshafikia uamuzi. Hili ndilo lilikuwa lengo la kutoa kauli tofauti kati yake na Marmo (ambaye msajili yuko chini yake) ndani ya masaa 24. Lengo lilikuwa ni kuwachanganya wananchi na hivyo kutokutoa muda kwa CCJ kuwaandaa wananchi na kuelewana mfumo.
a. Msajili alisema hana fedha za kufanya uhakiki.. hakuna mtu anauliza hizi za sasa zimetoka wapi?
b. Walisema uhakiki hautafanyika na kuwa CCJ haitashiriki uchaguzi .. sasa wanafanya uhakiki ili kiwe nini?
Wengi humu mnaposikia "uhakiki" hata hamuulizi umefanywaje hadi kuzua malalamishi. Mnachukulia tu kuwa watu wamelalamika bure.
Nimefafanua sehemu nyingine labda nirudie hapa:
Msajili alitakiwa kufanya uhakiki wa wanachama 200 wa mkoa wa Dar.. kaenda Mwembeyanga na kukuta kuna wanachama wa kutoka matawi mbalimbali ya mkoa wa Dar. Yeye kachukua orodha ya watu wa maeneo ya Mwembeyanga na ni HAO TU ndio alioataka kuwahakiki. Wanachama wa CCJ kutoka sehemu nyingine wamekataliwa kwa sababu majina yao hayakuwepo kwenye "orodha ya mwembeyanga".. Hakutaka kuchukua orodha ya sehemu nyingine za Dar kulinganisha! Sasa anapotangaza kuwa watu hawapo kwenye orodha au majina yao hayaonekani ni kweli - in the wrong orodha.
Hii ndio sababu ya uongozi wa CCJ kutaka zoezi lisitishwe kwani "uhakiki wa mkoa" unapofanyika kama uhakiki wa kitu kimoja kunapoteza kabisa dhana nzima ya uhakiki. Cha kuudhi kama kawaida vyombo vya habari vimerudia tu kile kilichoripotiwa na Msajili baada ya kwenda kuuliza maswali ya muhimu kujua nini hasa kimetokea.
I wish ungeona jinsi Kyabo anavyochemka. Hana busara na hafai kuwa kiongozi. He can't control his emotions and doesnt think before speaking.
Ilikuwa ni kazi ya CCJ kuhakiki wanachama wao kabla ya kumwita msajili wa vyama kufanya uhakiki. Kwa kutokufanya uhakiki wa ndani, inaonyesha ni jinsi gani chama hiki kisivyo makini.
Kingine, Kyabo hana mamlaka ya kuahirisha zoezi, kama ana mamlaka hayo nirekebishwe.
Halafu kuanza kuingiza na kushutumu hila zinazofanywa na CCM ni kukosa kujiamini, inferiority complex. Pia kuanza kutaja kwa kujiamini na jazba kwamba watashiriki kwenye uchaguzi kuanzia madiwani na hadi urais, na kwamba rais wao ni strong kuishinda CCM, alikwenda nje ya mada na anaonyesha jinsi anavyotapatapa.
Pili kusema kuwa yaliyokuwa yakitendeka wakati wa zoezi ni 'upumbavu/ujinga', ana maana msajili wa vyama ni mjinga? With all due respect, Mr Kyabo have to take back some of his words. Msajili wa vyama vya siasa ni taasisi inayohitaji kuheshimiwa (simaanishi kupigiwa magoti wala kunyenyekewa). Msajli wa vyama lazima afuate sheria na taratibu zilizowekwa, asiwe mtu mwenye kuyumbishwa wala kufanya shughuli zake kwa kufuata hisia za clientelle.
Mr Kyabo una/meiangusha CCJ.
Mzee mwanakijiji,
Hamkujifunza hata vyama vingine vinafanyeje wakati wa kuhakiki majina? Inaelekea mmeenda kichwa kichwa labda mliona mnajua zaidi.
Inabidi mjifunze makosa na mafanikio ya walio watangulieni.
Hapa si ajabu mmefungwa goli na factors mbalimbali zikiwemo za CCM, CUF, CHADEMA, Msajili na wengine.
Mmejianika uchi barabarani na hata waliotaka kujiunga nanyi wanaweza kuficha sura zao.
kwa kweli watu wanaosubiri pembeni ili mambo mazuri ndio wajiunge hawatufai..
CCJ ilishafanya uhakiki wake na nililiweka hapa.. ndio sababu ya kupeleka yale majina na fomu kwa msajili..
Kuhusu matamshi ya Kyabo.. hata mimi sijafurahishwa na nimewapa ujumbe juu ya hilo.. lakini well.. hisia ni sehemu ya uanadamu na watu wanaruhusiwa kuonesha hisia hili wala sina tatizo nalo kubwa sana. Kwani wanadamu siyo maroboti.
Nadhani tatizo ni CCJ kwa kiasi kikubwa......
Majina ya kuhakikishwa huletwa na Chama chenyewe. Sasa hata huyo mwenyekiti wa CCJ hakuwa na kadi ili ahakikiwe anasema eti alipoteza wakati amenigwa pale Kariakoo (angeweza kuchukua kadi nyingine kwa mujibu wa taratibu za chama chao kwa kadi zinazopotea madhali alitoa taarifa polisi). Huyo Katibu Mkuu wao pia hakuweza kuhakikiwa. Hata wangehakiki watu wote pale Mwembe Yanga bado wasingefika 200! Huoni kuwa tatizo ni CCJ?
Kitu kimoja katika siasa za Tanzania, unapokuwa mpinzani unapaswa kuwa makini sana sana. CCJ wlaikwenda kuzindua chama MwembeYanga. Mpendazoe alikwenda kuchukulia kadi mwembe yanga. MwembeYanga ni TEMEKE na Temeke eneo la CUF. Kwa vyovyote vile kama CCJ hawakushirikiana na CUF (na ninaamini hivyo maana walijiona wao ndio wakombozi na kazi nyingine iliyofanywa na vyama vya upinzani toka mwaka 1992 ni bure) basi CUF ilipandikiza watu katika uanachama na ndio hayo yamewakuta. Hiyo ni Dar mtaona kwingine.
I have an experience with this. Mwaka 2007 CHADEMA tuliweka Mgombea Ubunge katika Jimbo la Tunduru baada ya Akukweti kufariki. Tunduru ni CUF strong hold lakini CHADEMA 'tuliamini' kuwa tunaweza kufanya mabadiliko. CUF walilalamika sana na hatukuwasikiliza. Wakaweka mtego. Kila kata tuliyokwenda wanachama wa CUF ndio walitupokea, wakachukua kadi za CHADEMA na kuunda uongozi na timu za kampeni. Tukafanya kampeni kabambe kabisa with a modern information system (ambayo pia tulitumia Tarime na chaguzi nyingine zote na hivyo kuwa chama cha kwanza kupata matokeo mapema kama tunashinda tunazuia wizi wa CCM).
Uchaguzi ukafika. Watu wakapiga kura. Tukapata kura 2000 tu. Kumbe watu wote tuliokuwa tunafanya nao kazi ni CUF na hawa 2000 kwa kweli ndio haswa walikuwa wafuasi wa CHADEMA kule Tunduru.
This is how CUF safeguard ngome zao. CCJ inaweza kuwa Hoax kama alivyosema Tendwa.
CCJ ilishafanya uhakiki wake na nililiweka hapa.. ndio sababu ya kupeleka yale majina na fomu kwa msajili..
......
tatizo liko kwa Msajili.. na watu hawataki kuona tatizo hilo kwa sababu wanapenda kweli tatizo lingekuwa kwa CCJ.
Nilikesha jana kufuatilia suala hili kutoka pande zote na jaribio la msajili ni "kufanya uhakiki hewa" wakati tayari ameshafikia uamuzi. Hili ndilo lilikuwa lengo la kutoa kauli tofauti kati yake na Marmo (ambaye msajili yuko chini yake) ndani ya masaa 24. Lengo lilikuwa ni kuwachanganya wananchi na hivyo kutokutoa muda kwa CCJ kuwaandaa wananchi na kuelewana mfumo.
a. Msajili alisema hana fedha za kufanya uhakiki.. hakuna mtu anauliza hizi za sasa zimetoka wapi?
b. Walisema uhakiki hautafanyika na kuwa CCJ haitashiriki uchaguzi .. sasa wanafanya uhakiki ili kiwe nini?
Wengi humu mnaposikia "uhakiki" hata hamuulizi umefanywaje hadi kuzua malalamishi. Mnachukulia tu kuwa watu wamelalamika bure.
Nimefafanua sehemu nyingine labda nirudie hapa:
Msajili alitakiwa kufanya uhakiki wa wanachama 200 wa mkoa wa Dar.. kaenda Mwembeyanga na kukuta kuna wanachama wa kutoka matawi mbalimbali ya mkoa wa Dar. Yeye kachukua orodha ya watu wa maeneo ya Mwembeyanga na ni HAO TU ndio alioataka kuwahakiki. Wanachama wa CCJ kutoka sehemu nyingine wamekataliwa kwa sababu majina yao hayakuwepo kwenye "orodha ya mwembeyanga".. Hakutaka kuchukua orodha ya sehemu nyingine za Dar kulinganisha! Sasa anapotangaza kuwa watu hawapo kwenye orodha au majina yao hayaonekani ni kweli - in the wrong orodha.
Hii ndio sababu ya uongozi wa CCJ kutaka zoezi lisitishwe kwani "uhakiki wa mkoa" unapofanyika kama uhakiki wa kitu kimoja kunapoteza kabisa dhana nzima ya uhakiki. Cha kuudhi kama kawaida vyombo vya habari vimerudia tu kile kilichoripotiwa na Msajili baada ya kwenda kuuliza maswali ya muhimu kujua nini hasa kimetokea.
Zitto;
Siku zote nilipokuwa nikisoma watu wanakushambulia nilikuwa najua kuwa ni watu wasiotakia mema nchi yetu. Il leo nimeamini kuwa wewe ni Hoax, yaani si mpinzani wa kwali bali. Mifano yako yoote inaonesha umeishawekwa sawa na CCM. Haiingii akilini hata kidogo kusema TEMEKE ni ya CUF pamoja na TUNDURU wakati sehemu hizo zilichagua wabunge wa CCM. Kwa ni usiseme CCJ waliingizwa kwenye mtego na wana-CCM ambao ndicho chama pekee ambachi viongozi wake wamesema hadharani kuwa CCJ haitashiriki uchaguzi mwaka huu?. Je Tendwa yupo chini ya CUF?, Philip Marmo yupo CUF?, Pius Msekwa yupo chini ya CUF?. Ninachokiona hapa bwana Zitto ni kwamba umekubali kuingia katika ngoma ambayo inapigwa na CCM ya kuwagawa wapinzani ili wao wawatawale. Zitto umeahidiwa kuwa CCM hawata hujumu uchaguzi jimboni kwako ili usiwaguse katika kuwashughulikia wengine?.
Sijakuelewa kabisa mbunge kwenye hili na umenikatisha tamaa kabisa, CCJ, CUF si adui wa vyama vya upinzani vyenzake kama bali ni adui wa chama tawala kama ilivyo CHADEMA. Wivu huu wa vyama pinzani kwa CCJ na kwa vyenyewe kwa vyenyewe ndiyo utafanya wananchi kama sisi ambao hatuangalii chama bali maslahi ya Taifa na maendeleo kukata tamaa kabisa na Ninyi na kuona ni bora tuangalie katika kuifanya CCM iwe safi na kuendelea kutawala mpaka Massiah atakaporudi. There's no point ya kuwa na watu kama Zitto ambao slowly wanakuwa erroded na corrupt system na kujisahau kuwa Umoja ni nguvu, unganeni mtupe hope watanzania. It's a sad day for me to read a post with CCM leaning strategy from Someone like you.
Zitto;
Siku zote nilipokuwa nikisoma watu wanakushambulia nilikuwa najua kuwa ni watu wasiotakia mema nchi yetu. Il leo nimeamini kuwa wewe ni Hoax, yaani si mpinzani wa kweli. Mifano yako yoote inaonesha umeishawekwa sawa na CCM. Haiingii akilini hata kidogo kusema TEMEKE na TUNDURU ni ngome za CUF wakati sehemu hizo zilichagua wabunge kutoka CCM. Kwa nini usiseme CCJ waliingizwa kwenye mtego na wana-CCM ambao ndicho chama pekee mpaka saa ambacho viongozi wake wamesema hadharani kuwa CCJ haitashiriki uchaguzi mwaka huu?. Je Tendwa yupo CUF?, Philip Marmo yupo CUF?, Pius Msekwa yupo CUF?. Ninachokiona hapa bwana Zitto ni kwamba umekubali kuingia katika ngoma ambayo inapigwa na CCM ya kuwagawa wapinzani ili wao wawatawale. Zitto umeahidiwa kuwa CCM hawata kuhujumu uchaguzi jimboni kwako ili usiwaguse wakati wao wanawashughulikia wengine?.
Sijakuelewa kabisa mbunge kwenye hili na umenikatisha tamaa kabisa, CCJ, CUF si adui wa vyama vya upinzani vyenzake bali ni adui wa chama tawala kama ilivyo CHADEMA. Wivu huu wa vyama pinzani kwa CCJ na kwa vyenyewe kwa vyenyewe ndiyo utafanya wananchi kama sisi ambao hatuangalii chama bali maslahi ya Taifa na maendeleo kukata tamaa kabisa na ninyi na kuona ni bora tuangalie katika kuifanya CCM iwe safi na kuendelea kutawala mpaka Massiah atakaporudi. There's no point ya kuwa na watu kama Zitto ambao slowly wanakuwa erroded na corrupt system na kujisahau kuwa Umoja ni nguvu, unganeni mtupe hope watanzania. It's a sad day for me to read a post with CCM leaning strategy from Someone like you.
tatizo liko kwa Msajili.. na watu hawataki kuona tatizo hilo kwa sababu wanapenda kweli tatizo lingekuwa kwa CCJ.
Nilikesha jana kufuatilia suala hili kutoka pande zote na jaribio la msajili ni "kufanya uhakiki hewa" wakati tayari ameshafikia uamuzi. Hili ndilo lilikuwa lengo la kutoa kauli tofauti kati yake na Marmo (ambaye msajili yuko chini yake) ndani ya masaa 24. Lengo lilikuwa ni kuwachanganya wananchi na hivyo kutokutoa muda kwa CCJ kuwaandaa wananchi na kuelewana mfumo.
a. Msajili alisema hana fedha za kufanya uhakiki.. hakuna mtu anauliza hizi za sasa zimetoka wapi?
b. Walisema uhakiki hautafanyika na kuwa CCJ haitashiriki uchaguzi .. sasa wanafanya uhakiki ili kiwe nini?
Wengi humu mnaposikia "uhakiki" hata hamuulizi umefanywaje hadi kuzua malalamishi. Mnachukulia tu kuwa watu wamelalamika bure.
Nimefafanua sehemu nyingine labda nirudie hapa:
Msajili alitakiwa kufanya uhakiki wa wanachama 200 wa mkoa wa Dar.. kaenda Mwembeyanga na kukuta kuna wanachama wa kutoka matawi mbalimbali ya mkoa wa Dar. Yeye kachukua orodha ya watu wa maeneo ya Mwembeyanga na ni HAO TU ndio alioataka kuwahakiki. Wanachama wa CCJ kutoka sehemu nyingine wamekataliwa kwa sababu majina yao hayakuwepo kwenye "orodha ya mwembeyanga".. Hakutaka kuchukua orodha ya sehemu nyingine za Dar kulinganisha! Sasa anapotangaza kuwa watu hawapo kwenye orodha au majina yao hayaonekani ni kweli - in the wrong orodha.
Hii ndio sababu ya uongozi wa CCJ kutaka zoezi lisitishwe kwani "uhakiki wa mkoa" unapofanyika kama uhakiki wa kitu kimoja kunapoteza kabisa dhana nzima ya uhakiki. Cha kuudhi kama kawaida vyombo vya habari vimerudia tu kile kilichoripotiwa na Msajili baada ya kwenda kuuliza maswali ya muhimu kujua nini hasa kimetokea.
Hofstede,
Mbona Zitto kaandika ukweli mtupu?
Unataka kwasababu Zitto yuko CHADEMA basi hata pale penye ukweli, yeye awe ana SPIN tu?
Hofstede nilifikiri ni real kumbe na wewe bomu. Unamtolea Zitto mimacho kwasababu tu hajawatukana CCM? Kazi ipo kweli TZ!
Zitto;
Siku zote nilipokuwa nikisoma watu wanakushambulia nilikuwa najua kuwa ni watu wasiotakia mema nchi yetu. Il leo nimeamini kuwa wewe ni Hoax, yaani si mpinzani wa kweli. Mifano yako yoote inaonesha umeishawekwa sawa na CCM. Haiingii akilini hata kidogo kusema TEMEKE na TUNDURU ni ngome za CUF wakati sehemu hizo zilichagua wabunge kutoka CCM. Kwa nini usiseme CCJ waliingizwa kwenye mtego na wana-CCM ambao ndicho chama pekee mpaka saa ambacho viongozi wake wamesema hadharani kuwa CCJ haitashiriki uchaguzi mwaka huu?. Je Tendwa yupo CUF?, Philip Marmo yupo CUF?, Pius Msekwa yupo CUF?. Ninachokiona hapa bwana Zitto ni kwamba umekubali kuingia katika ngoma ambayo inapigwa na CCM ya kuwagawa wapinzani ili wao wawatawale. Zitto umeahidiwa kuwa CCM hawata kuhujumu uchaguzi jimboni kwako ili usiwaguse wakati wao wanawashughulikia wengine?.
Sijakuelewa kabisa mbunge kwenye hili na umenikatisha tamaa kabisa, CCJ, CUF si adui wa vyama vya upinzani vyenzake bali ni adui wa chama tawala kama ilivyo CHADEMA. Wivu huu wa vyama pinzani kwa CCJ na kwa vyenyewe kwa vyenyewe ndiyo utafanya wananchi kama sisi ambao hatuangalii chama bali maslahi ya Taifa na maendeleo kukata tamaa kabisa na ninyi na kuona ni bora tuangalie katika kuifanya CCM iwe safi na kuendelea kutawala mpaka Massiah atakaporudi. There's no point ya kuwa na watu kama Zitto ambao slowly wanakuwa erroded na corrupt system na kujisahau kuwa Umoja ni nguvu, unganeni mtupe hope watanzania. It's a sad day for me to read a post with CCM leaning strategy from Someone like you.
You are right kama wewe ni msemaji wa Muheshimiwa Zitto. Ukweli utabaki palepale huyu jamaa ni Hoax, nimegundua leo kutokana na post yake. Na sitashangaa ama akahamia CCM au akapewa cheo cha ahsante serikalini baada ya uchaguzi.
Zitto;
Siku zote nilipokuwa nikisoma watu wanakushambulia nilikuwa najua kuwa ni watu wasiotakia mema nchi yetu. Il leo nimeamini kuwa wewe ni Hoax, yaani si mpinzani wa kweli. Mifano yako yoote inaonesha umeishawekwa sawa na CCM. Haiingii akilini hata kidogo kusema TEMEKE na TUNDURU ni ngome za CUF wakati sehemu hizo zilichagua wabunge kutoka CCM. Kwa nini usiseme CCJ waliingizwa kwenye mtego na wana-CCM ambao ndicho chama pekee mpaka saa ambacho viongozi wake wamesema hadharani kuwa CCJ haitashiriki uchaguzi mwaka huu?. Je Tendwa yupo CUF?, Philip Marmo yupo CUF?, Pius Msekwa yupo CUF?. Ninachokiona hapa bwana Zitto ni kwamba umekubali kuingia katika ngoma ambayo inapigwa na CCM ya kuwagawa wapinzani ili wao wawatawale. Zitto umeahidiwa kuwa CCM hawata kuhujumu uchaguzi jimboni kwako ili usiwaguse wakati wao wanawashughulikia wengine?.
Sijakuelewa kabisa mbunge kwenye hili na umenikatisha tamaa kabisa, CCJ, CUF si adui wa vyama vya upinzani vyenzake bali ni adui wa chama tawala kama ilivyo CHADEMA. Wivu huu wa vyama pinzani kwa CCJ na kwa vyenyewe kwa vyenyewe ndiyo utafanya wananchi kama sisi ambao hatuangalii chama bali maslahi ya Taifa na maendeleo kukata tamaa kabisa na ninyi na kuona ni bora tuangalie katika kuifanya CCM iwe safi na kuendelea kutawala mpaka Massiah atakaporudi. There's no point ya kuwa na watu kama Zitto ambao slowly wanakuwa erroded na corrupt system na kujisahau kuwa Umoja ni nguvu, unganeni mtupe hope watanzania. It's a sad day for me to read a post with CCM leaning strategy from Someone like you.
Expected this as you are a hero you BASH Zitto on JF!
For your information i was to be a Minister in February 2008. I have always strived for change and not positions. Wewe endelea kuota na time will tell
Mkuu Zitto hapa mie ndio wapinzani wanaponishangaza,kama mnajua jimbo fulani kuna chama cha upinzani tayari kina nguvu kwanini msiki support hicho chama badala yake na nyie au vyama vingine vya upinzani navyo vinaenda kusimamisha mgombea? inama hakuna anayejua kwamba atakae faidika ni ccm siku ya uchaguzi?Kitu kimoja katika siasa za Tanzania, unapokuwa mpinzani unapaswa kuwa makini sana sana. CCJ wlaikwenda kuzindua chama MwembeYanga. Mpendazoe alikwenda kuchukulia kadi mwembe yanga. MwembeYanga ni TEMEKE na Temeke eneo la CUF. Kwa vyovyote vile kama CCJ hawakushirikiana na CUF (na ninaamini hivyo maana walijiona wao ndio wakombozi na kazi nyingine iliyofanywa na vyama vya upinzani toka mwaka 1992 ni bure) basi CUF ilipandikiza watu katika uanachama na ndio hayo yamewakuta. Hiyo ni Dar mtaona kwingine. I have an experience with this. Mwaka 2007 CHADEMA tuliweka Mgombea Ubunge katika Jimbo la Tunduru baada ya Akukweti kufariki. Tunduru ni CUF strong hold lakini CHADEMA 'tuliamini' kuwa tunaweza kufanya mabadiliko. CUF walilalamika sana na hatukuwasikiliza. Wakaweka mtego. Kila kata tuliyokwenda wanachama wa CUF ndio walitupokea, wakachukua kadi za CHADEMA na kuunda uongozi na timu za kampeni. Tukafanya kampeni kabambe kabisa with a modern information system (ambayo pia tulitumia Tarime na chaguzi nyingine zote na hivyo kuwa chama cha kwanza kupata matokeo mapema kama tunashinda tunazuia wizi wa CCM). Uchaguzi ukafika. Watu wakapiga kura. Tukapata kura 2000 tu. Kumbe watu wote tuliokuwa tunafanya nao kazi ni CUF na hawa 2000 kwa kweli ndio haswa walikuwa wafuasi wa CHADEMA kule Tunduru.
Ni Kweli kaka nasikia hata Mwenyekiti wao naye alipewa 20,000,000 asijipe kadi na Katibu Mkuu akapewa donge nono na ahadi kemkem asijiorodheshe kwenye fomu za Wanachama
Expected this as you are a hero you BASH Zitto on JF!
For your information i was to be a Minister in February 2008. I have always strived for change and not positions. Wewe endelea kuota na time will tell