Watakuwa wanasubiri matokeo ya barua yao ya kulialia kwa Wazungu. Obama amtume Hillary Clinton kuingilia kati.
aliua kina nani? tupe idadi tu ya watu waliouawa nje ya sheria? Hadi anajiuzulu mwaka 1985 aliidhinisha hukumu za kunyongwa kwa watu wawili tu (ndani ya karibu miaka 25 ya utawala wake) wakati Mwinyi wakati anaondoka alikuwa ameidhinisha zaidi ya watu 20 ndani ya miaka 10, Kikwete ndani ya miaka mitano utaogopa! Mkapa aliidhinisha siyo hata kunyongwa mauaji ya zaidi ya watu 20 Pemba na Mwembeyanga!
watu "wengisana " waliokimbia nchi ni wapi hao ambao wasingekimbia kwa sababu nyingine?
Kwenye red nakubaliana nawe!!Kaua watu kielimu, kaua watu wakati wa operation vijiji (nyumba na mali pamoja na watu walikufa) embu tuondeleeni balaa lenu hapa kama "kumsifia mpelekeni kanisani kwenu" maana nyinyi wehu wakusifia kila mwovu..lol
Prove it! hapa tunaongelea siasa. Siasa iliyokuja kwa kuwaaminisha watu kuwa, inatija na inaweza kuibadilisha nchi hiiCCJ ni zao la waraka wa kikristo haitafika mbali ...as long as inawategemea wakatoliki tu..Tanzania ni zaidi ya Maaskofu..
naomba hili isiwe kweli;
- kwamba ccj ilikuwa tego.
- kwamba ccj iliundwa ili kuwafanya wapinzani wa kundi la watawala
ndani ndani ya ccm wajitokeze kwa kuhamia ccj ili iwe rahisi
kuwamaliza kisiasa na kuondoa upinzani ndani ya ccm.
- kwamba baada ya tego kuonekana halina mafanikio kikawekwa chambo
kiitwacho mpendazoe ili wengine wafuate
kwamba waliowekewa tego la ccj wameshtuka na hakuna aliyenasa
kwamba ccm inapanga tego lingine ili kuwamaliza wapinzani kabla ya mambo hayajaharibika
naomba isiwe kweli hata chembe.
Kaua watu kielimu, kaua watu wakati wa operation vijiji (nyumba na mali pamoja na watu walikufa) embu tuondeleeni balaa lenu hapa kama "kumsifia mpelekeni kanisani kwenu" maana nyinyi wehu wakusifia kila mwovu..lol
CCJ ni zao la waraka wa kikristo haitafika mbali ...as long as inawategemea wakatoliki tu..Tanzania ni zaidi ya Maaskofu..
Mpotezee, huwa ndo zake kuchafua hali ya hewa kwenye vitu serious!!Tumain, with all due respect, haya mambo ya kanisani yametoka wapi? Nadhani mada hapa ni CCJ wamepotelea wapi? Kama kuna mtu kamsifia Nyerere in the course of kuchangia, ni mtazamo na mapenzi yake!! Usitoke nje ya mada mkuu, udini wa nini?
This is too low!!
Mpotezee, huwa ndo zake kuchafua hali ya hewa kwenye vitu serious!!
Naona wakaao viti vya Mbele pamoja na MMKJJ anataka kutuambia (japo hajasema wazi) kwamba kuna Moto unawashwa, japo wa mafuta mazito utakolea baadae! Lakini washauri, mbona walijaribu kuja kwa moto wa gas, imekuwaje tena? au jamaa walitishia kulipua mtungi?!!
Fikra kama hizi ni za mtu mnyonge ndani kabisa ya mtima wake. Mtu wa aina hiyo huwezi kumsaidia maana anachoona mbele yake siku zote ni kitu kimoja tu ambacho amekiweka ndani ya huo moyo wake mnyonge...wasiwasi!!! Ana shaka na kila jambo hata lisilo na shida naye. Maaskofu, ni smart kuliko unavyofikiria wewe ndugu yangu. Never underestimate their wisdom and power. Trust me,they have huge power without guns and ammunitions.CCJ ni zao la waraka wa kikristo haitafika mbali ...as long as inawategemea wakatoliki tu..Tanzania ni zaidi ya Maaskofu..
Kaua watu kielimu, kaua watu wakati wa operation vijiji (nyumba na mali pamoja na watu walikufa) embu tuondeleeni balaa lenu hapa kama "kumsifia mpelekeni kanisani kwenu" maana nyinyi wehu wakusifia kila mwovu..lol
Kwenye red nakubaliana nawe!!
kwingine naona ni jazba tu! kaanzishe topic kule kwenye jukwaa la dini!~
Hongera sana!! Unafikiri jeshi zima la Marekani linalopigana Iraq au Afghanistan wote wako Iraq na Afghanistan? Ungejua mambo yanayofanyika Northern Command au Pentagon yenye effect Kandahar au Baghdad ungeshangaaa.. Msijidanganye kwa kuamini kuwa mtashinda kwa "the ground approach tu". Shauri lenu.
Nadhani wana rely on special operations forces,drones etc.Mkuu,
Ningetamani sana kuona jitihada zako zikizaa matunda lakini nahisi either hutaki kukubali kuwa hawa jamaa uliowaamini ni wababaishaji au unasubiri miujiza.Natambua sana uchungu wako kwa nchi yetu,na kauli tamu za CCJ zilikushawishi uwape sapoti ya kutosha.Unfortunately,it's a lost war.Whether mambo yanafanyika Northen Command au kutoka International Space Station,hii ni vita ya kupigana for the sake of kupigana badala ya kupigana for the sake of victory.Kumbuka hata huko Afghanistan,Warusi walitumia kila mbinu lakini hatimaye ikawalazimu wakubali matokeo.Na tupo tunaoamini the same would happen kwa coalition forces.
It's never too late to admit kwamba the CCJ guys took you for a ride.
Mkuu,
It's never too late to admit kwamba the CCJ guys took you for a ride.
Are you serious?sawa mzee nimekubali.