CCBRT na bei za miwani ya macho

CCBRT na bei za miwani ya macho

Umeanza vizuuuri mwisho unaleta ubahili hapa! Kuonekana kwenye hizo screen ulijua bureeee?
Mkuu we wawapi yan hujawahi kuugua macho that's why. Reception tuu kwenye hizo screen unazosema ww, unalipia elf 25, eb niambie ni Hospital gani ulienda na reception ukalipa that amount? Kama hujanitajia hindu aar na aga khan
 
Awapi gharama za miwani huwa ni tofaut na gharama za hosipitali
Sawa mkuu, ila nilikuwa nacomment kwa huyo aliyesema kuwa watakuwa wamejumlisha na gharama za huduma ya wewe kuonekana kwenye screen.
 
Mkuu we wawapi yan hujawahi kuugua macho that's why. Reception tuu kwenye hizo screen unazosema ww, unalipia elf 25, eb niambie ni Hospital gani ulienda na reception ukalipa that amount? Kama hujanitajia hindu aar na aga khan
Sawa!tatizo umeanza kwa kuwasifia.mbona kuna sehemu nyingi tu utapata miwani bei Chee? Hiyo ni private tu lazima bei iwe juu.ila sio mbaya umetalii.tafuta sehemu nafuu bosi
 
Sawa!tatizo umeanza kwa kuwasifia.mbona kuna sehemu nyingi tu utapata miwani bei Chee? Hiyo ni private tu lazima bei iwe juu.ila sio mbaya umetalii.tafuta sehemu nafuu bosi
Ukisema private. Mimi miwani yangu nilichukulia aga khan mwanza na haikuwa bei kama hiyo. Niliwah badilisha na nkapewa lens ya 40k,thus ukijumlisha flem ya 40k nzur tu inakuwa 80k,japokuwa mimi nilibadili lens pekee.
 
Sawa mkuu, ila nilikuwa nacomment kwa huyo aliyesema kuwa watakuwa wamejumlisha na gharama za huduma ya wewe kuonekana kwenye screen.
Mbavu zanguuu...... [emoji120]. Nafwaaa,
Mkuu kwenye screen ni namba yako inaonekana ya kwenda either kumuona daktari au kwenda reception
 
Mbavu zanguuu...... [emoji120]. Nafwaaa,
Mkuu kwenye screen ni namba yako inaonekana ya kwenda either kumuona daktari au kwenda reception
Itakuwa hajaelewa ndo maana kacomment hivyo.
 
Mbavu zanguuu...... [emoji120]. Nafwaaa,
Mkuu kwenye screen ni namba yako inaonekana ya kwenda either kumuona daktari au kwenda reception
[emoji2] [emoji2] itakuwa hakuelewa, ndio maana nimemquote.
 
Ukisema private. Mimi miwani yangu nilichukulia aga khan mwanza na haikuwa bei kama hiyo. Niliwah badilisha na nkapewa lens ya 40k,thus ukijumlisha flem ya 40k nzur tu inakuwa 80k,japokuwa mimi nilibadili lens pekee.
Basi sawa,suruali ya elfu 20 kuna duka lingine ukienda utaambiwe elfu50.hivyo sishangai.kilalaheri utapata ningine
 
Nenda hapo nje ya ccbrt opposite na kanisani kuna hospital ya macho inaitwa SIHA huyo Doctor alikuwa wa ccbrt akaacha baada ya kupata wateja wengi akashindwa kuwa anaenda kule kisha anarudi kwenye hospital yake alishawahi kunitibu akiwa ccbrt niliporudi siku nyingine kumtafuta ndio nikaelekezwa hapo, lens 30,000 tu frame uchaguzi wako mpaka za 20,000 zipo
 
Jaribu kwenda pale International Eye Hospital Morocco, wapelekee hivo vipimo watakutajia bei ya lens, frame utachagua kutokana na uwezo wako.
 
Kuwa serious ww yani unashangaa iyo bei pamoja na frame
Utani uo
Ivi umesoma uzi, yani bila frame (lenses pekeyake) ni sh 90k ila na frame ni sh 130k na siyo frame kama ya jk au jpm. Ni zakawaida ambazo azina bei kubwa kiasi hicho. Sasa ndomaana nika uliza (sishangai kama bichwa lako linavyokutuma mkuu) and i can afford it lakini je vipi kwa wale wasioweza kumudu?, na kuna ukweli au uhalali wowote wa lens kuuzwa 90k?hiyo lens ina nini? Ndomaana nikauliza na nikaweka na prescription niliyopewa labda nijue lens za aina hiyo znaendana na bei tajwa, simply like that.
 
Ivi umesoma uzi, yani bila frame (lenses pekeyake) ni sh 90k ila na frame ni sh 130k na siyo frame kama ya jk au jpm. Ni zakawaida ambazo azina bei kubwa kiasi hicho. Sasa ndomaana nika uliza (sishangai kama bichwa lako linavyokutuma mkuu) and i can afford it lakini je vipi kwa wale wasioweza kumudu?, na kuna ukweli au uhalali wowote wa lens kuuzwa 90k?hiyo lens ina nini? Ndomaana nikauliza na nikaweka na prescription niliyopewa labda nijue lens za aina hiyo znaendana na bei tajwa, simply like that.
Nimekuelewa ila nakushangaa unaona ajabu bei ya kawaida sana iyo
Nenda optometry za kitaa kama utaona utofauti
 
Nimekuelewa ila nakushangaa unaona ajabu bei ya kawaida sana iyo
Nenda optometry za kitaa kama utaona utofauti
Mkuu ww hujui unachokiongea, nimeenda eye clinics za kitaa mara baada ya kutoka ccbrt na nikaambiwa vipimo vyao ni 15k na lens inategemeana na aina ya lens, nikawatajia yangu, wakanambia 30k frame zipo 40k-90k,sasa cjui maana yako
NB; Nimeenda eye clinics tatu na zote majibu hayapishani na nilichokiandi saana iwe kwa kupungua au kuongezeka
 
Back
Top Bottom