CCBRT kufungwa na serikali?

CCBRT kufungwa na serikali?

Mfalme wa wafalme (King of kings), pole kwa hofu. CCBRT haifungwi wala hakuna mpango wa serikali kuifunga, kilichopo kuna mkataba kwa serikali kusuport hosspitali binafsi ili pia zihudumie wagonjwa wa kawaida kama hospitali za umma, ndio maana karibu hospitali kubwa zote nchini, zinatoa huduma za MCH bure, sasa hata VTC CCBRT ikiwa moja wapo.

Mimi pia nimetibiwa hapo, kuna vifaa hapo havipo pengine popote Tanzania. Kuna watu wamemdanyanya Lukuvi kuwa vile vifaa vinanunuliwa kwa fedha za ruzuku ya serikali, hivyo ameandika barua Wizara ya Afya kuomba Dar es Salaam lipewe hadhi ya kimikoa 3 upande wa sekta ya afya kama ilivyo kwa mikoa ya kipolisi//TRA hiyo itapelekea serikali wasitishe/wavunje mkataba wa ruzuku ya CCBT.

Kisa ni kuwa CCBRT imeweka njia 3 za malipo kwa huduma zake. Kwa wale walala hoi, wanachangia gharama kidogo tuu. Watu wa kawaida wanalipia gharama kama hospitali private za kawaida, na wale vibosile wanatozwa gharama za juu zaidi ili kuchangia kuhudumia wale walala hoi.

Sasa vibosile wa Jiji wanakwenda pale kutaka huduma za fast track ila eti walipie gharama za chini kama walala hoi, uongozi wa hospitali umewakatalia, ukitaka kutibiwa kama mlala hoi panga foleni kama walala hoi. Na ukitaka kutibiwa kama mfalme, unanyeyekewa. Hawakubali huduma za kifalme kutaka kulipiwa gharama za walala hoi.
Wanene wa jiji hilo limewaudhi, ndipo juzi kwenye kikao cha madiwani wakapendekeza serikali ivunje mkataba na CCBRT.

Walioingia mkatyaba ni Wizara ya Afya na sio jiji, hivyo hawawezi kuusikiliza huu upuuzi
Wa Jiji.

Pale CCBRT kuna Daktari Mjerumani, Dr. Ickler ni bingwa wa mifupa Tanzania hakuna mfanowe. Kumuona Ickler kwa matakwa yako binafsi ni 140,000. Lakini Ickler huyo huyo ndiye anafanya upasuaji kwa wenye ulemavu bure. Ili kupata huduma ya Ickler bure, panga foleni kwa walala hoi na uongozi ukijiridhisha unapaswa kuhudumiwa na Ickler
Unahudumiwa bure. Ukijijia wewe mwenyewe kutaka kumuona, lazima zikutoke hizo 140,000 ila huduma nazo kiboko.
Hospitali Funga kazi zaidi ya CCBRT kwa mitambo ni Trauma Centre, Masaki,, ili huko ni kwa wenzetu wazungu tuu na mamilionea wetu wachache.
 
Mfalme wa wafalme (King of kings), pole kwa hofu. CCBRT haifungwi wala hakuna mpango wa serikali kuifunga, kilichopo kuna mkataba kwa serikali kusuport hosspitali binafsi ili pia zihudumie wagonjwa wa kawaida kama hospitali za umma, ndio maana karibu hospitali kubwa zote nchini, zinatoa huduma za MCH bure, sasa hata VTC CCBRT ikiwa moja wapo.

Mimi pia nimetibiwa hapo, kuna vifaa hapo havipo pengine popote Tanzania. Kuna watu wamemdanyanya Lukuvi kuwa vile vifaa vinanunuliwa kwa fedha za ruzuku ya serikali, hivyo ameandika barua Wizara ya Afya kuomba Dar es Salaam lipewe hadhi ya kimikoa 3 upande wa sekta ya afya kama ilivyo kwa mikoa ya kipolisi//TRA hiyo itapelekea serikali wasitishe/wavunje mkataba wa ruzuku ya CCBT.

Kisa ni kuwa CCBRT imeweka njia 3 za malipo kwa huduma zake. Kwa wale walala hoi, wanachangia gharama kidogo tuu. Watu wa kawaida wanalipia gharama kama hospitali private za kawaida, na wale vibosile wanatozwa gharama za juu zaidi ili kuchangia kuhudumia wale walala hoi.

Sasa vibosile wa Jiji wanakwenda pale kutaka huduma za fast track ila eti walipie gharama za chini kama walala hoi, uongozi wa hospitali umewakatalia, ukitaka kutibiwa kama mlala hoi panga foleni kama walala hoi. Na ukitaka kutibiwa kama mfalme, unanyeyekewa. Hawakubali huduma za kifalme kutaka kulipiwa gharama za walala hoi.
Wanene wa jiji hilo limewaudhi, ndipo juzi kwenye kikao cha madiwani wakapendekeza serikali ivunje mkataba na CCBRT.

Walioingia mkatyaba ni Wizara ya Afya na sio jiji, hivyo hawawezi kuusikiliza huu upuuzi
Wa Jiji.

Pale CCBRT kuna Daktari Mjerumani, Dr. Ickler ni bingwa wa mifupa Tanzania hakuna mfanowe. Kumuona Ickler kwa matakwa yako binafsi ni 140,000. Lakini Ickler huyo huyo ndiye anafanya upasuaji kwa wenye ulemavu bure. Ili kupata huduma ya Ickler bure, panga foleni kwa walala hoi na uongozi ukijiridhisha unapaswa kuhudumiwa na Ickler
Unahudumiwa bure. Ukijijia wewe mwenyewe kutaka kumuona, lazima zikutoke hizo 140,000 ila huduma nazo kiboko.
Hospitali Funga kazi zaidi ya CCBRT kwa mitambo ni Trauma Centre, Masaki,, ili huko ni kwa wenzetu wazungu tuu na mamilionea wetu wachache.


Asante sana mkuu Pasco kwa maelezo mazuri ya kina nimekuelewa lakini bado nina hofu moja kwanini hii Hospital ys CCBRT inawekwa katka horodha ya hospital ambazo hazifanyi vizuri???
 
Mfalme wa wafalme (King of kings), pole kwa hofu. CCBRT haifungwi wala hakuna mpango wa serikali kuifunga, kilichopo kuna mkataba kwa serikali kusuport hosspitali binafsi ili pia zihudumie wagonjwa wa kawaida kama hospitali za umma, ndio maana karibu hospitali kubwa zote nchini, zinatoa huduma za MCH bure, sasa hata VTC CCBRT ikiwa moja wapo.

Mimi pia nimetibiwa hapo, kuna vifaa hapo havipo pengine popote Tanzania. Kuna watu wamemdanyanya Lukuvi kuwa vile vifaa vinanunuliwa kwa fedha za ruzuku ya serikali, hivyo ameandika barua Wizara ya Afya kuomba Dar es Salaam lipewe hadhi ya kimikoa 3 upande wa sekta ya afya kama ilivyo kwa mikoa ya kipolisi//TRA hiyo itapelekea serikali wasitishe/wavunje mkataba wa ruzuku ya CCBT.

Kisa ni kuwa CCBRT imeweka njia 3 za malipo kwa huduma zake. Kwa wale walala hoi, wanachangia gharama kidogo tuu. Watu wa kawaida wanalipia gharama kama hospitali private za kawaida, na wale vibosile wanatozwa gharama za juu zaidi ili kuchangia kuhudumia wale walala hoi.

Sasa vibosile wa Jiji wanakwenda pale kutaka huduma za fast track ila eti walipie gharama za chini kama walala hoi, uongozi wa hospitali umewakatalia, ukitaka kutibiwa kama mlala hoi panga foleni kama walala hoi. Na ukitaka kutibiwa kama mfalme, unanyeyekewa. Hawakubali huduma za kifalme kutaka kulipiwa gharama za walala hoi.
Wanene wa jiji hilo limewaudhi, ndipo juzi kwenye kikao cha madiwani wakapendekeza serikali ivunje mkataba na CCBRT.

Walioingia mkatyaba ni Wizara ya Afya na sio jiji, hivyo hawawezi kuusikiliza huu upuuzi
Wa Jiji.

Pale CCBRT kuna Daktari Mjerumani, Dr. Ickler ni bingwa wa mifupa Tanzania hakuna mfanowe. Kumuona Ickler kwa matakwa yako binafsi ni 140,000. Lakini Ickler huyo huyo ndiye anafanya upasuaji kwa wenye ulemavu bure. Ili kupata huduma ya Ickler bure, panga foleni kwa walala hoi na uongozi ukijiridhisha unapaswa kuhudumiwa na Ickler
Unahudumiwa bure. Ukijijia wewe mwenyewe kutaka kumuona, lazima zikutoke hizo 140,000 ila huduma nazo kiboko.
Hospitali Funga kazi zaidi ya CCBRT kwa mitambo ni Trauma Centre, Masaki,, ili huko ni kwa wenzetu wazungu tuu na mamilionea wetu wachache.

Asante mkuu Pasco maelezo yako yamenifanya nielewe kinacho endelea na hapa nategemea prof. Mwakyusa atatumia busara zake na kuachana na ujinga wa lukuvi mtu wa darasa la nne.
 
Asante mkuu Pasco maelezo yako yamenifanya nielewe kinacho endelea na hapa nategemea prof. Mwakyusa atatumia busara zake na kuachana na ujinga wa lukuvi mtu wa darasa la nne.

Mkuu Magezi Maelezo Pasco nimeyaelewa kwanini sirikali inaingilia miradi ya watu?? kwanini haiendi Trauma centre au IST??Hapa kuna sababu mkuu
 
Du Baba yangu alisumbuliwa na macho kwa miaka akaponea pale kwa chini ya shilingi 50,000 pamoja ni miwani ambaoya amevaa kwa miaka sita sasa,kwani tatizo nini jamani vitu vizuri na vyenye kusaidia wananchi wengi vinakuwa na mikwaruzano mikubwa,na serikali,mbona wamewekeza sana kwenye majengo,huduma na mambo mengine serikali itaendesha yenyewe au vipi
 
Du Baba yangu alisumbuliwa na macho kwa miaka akaponea pale kwa chini ya shilingi 50,000 pamoja ni miwani ambaoya amevaa kwa miaka sita sasa,kwani tatizo nini jamani vitu vizuri na vyenye kusaidia wananchi wengi vinakuwa na mikwaruzano mikubwa,na serikali,mbona wamewekeza sana kwenye majengo,huduma na mambo mengine serikali itaendesha yenyewe au vipi

Serikali hii mwarubaini wake unakuja muda si mrefu
 
Back
Top Bottom