mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 3,113
- 5,408
Kipindi cha nyuma walikuwa wanasoma kweli but nakumbuka Ndalichako alipokuwa waziri wa Elimu alisema hakuna course ya afya yenye geography. Je kwa sasa anaweza kusoma kweli?Diploma unapata Pharmacy. Hata Clinical Officier unasoma. Then ukimaliza unaweza kwenda kusoma MD.Kuna watu wengi ninawafahamu walisoma CBG then wakasoma Clinical Officer then MD na.sasa ni Ma Dr tena wengine wamespecialise kwenye Optamology,Surgery n.k