Ni mshubi wa Rulenge, wahangaza ni wa ngara.Muhangaza!
Jamaa ni mbinafsi hatari. Nadhani hata ufisadi hajafanya Ila tabia zake za kubania watu ilibidi aondoke tu, maana nchi hii ni ya wote.
Ni mshubi wa Rulenge, wahangaza ni wa ngara.Muhangaza!
Hizo tabia huwa zinadumu hadi maishaniHivi ni mrundi sio mhaya nilisoma naye Pugu Highschool alikuwa mbinafsi,atakuomba kitabu lakini chake hugusi
Omujubi, mtu anaweza kusoma hii comment yako kwa haraka asikuelewe lakini ninahisi tungekuwa tumeendelea zaidi. Kuna viongozi wanaihujumu hii nchi utafikiri wao siyo watanzania, kwamba kuna nchi nyingine wanapeleka wanavovipora TZ. Hata aliyeazimwa koti hawezi kulitumia vibaya namna tunavyoona. Haiingii akilini, najiuliza inakuwa je kila mahali ni madudu?
Umeme wa mwl Nyerere wa megawati 2150 upo mwilini mwake.Tumuombee kipindi hiki anapoishi kwa matumaini.Ndugai anaumwa nini??
Madaraka makubwa hulevyaMimi binafsi namfahamu Eng. Kakoko hayuko hivyo jinsi mnavyomsema. Amekuwa Meneja wa TANROADS Arusha na alikuwa mfano wa kuigwa.
Kuna watu mna roho mbaya Sana.Subiri taarifa.
Mhangaza siyo Mhaya!!Hivi ni mrundi sio mhaya nilisoma naye Pugu Highschool alikuwa mbinafsi,atakuomba kitabu lakini chake hugusi
Kagenda?Ninasikia kuna taarifa mpya juu ya afya ya Job.
Kama alitishiwa kuuliwa,alitoa taarifa polisi?je ana ushahidi zaidi ya maneno yake?Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na kushtakiwa mahakamani.
Hali hiyo ilikuja baada ya yeye kuibua Madudu mengi ya ufujaji wa pesa katika Mamlaka hiyo na kubainisha kuwa kulikuwa na baadhi ya watumishi wazalendo wa kutoka mamlaka hiyo walikuwa wakimpa nyaraka za ndani za matumizi mabaya ya pesa ambazo Bwana Kakoko alikuwa akizificha.
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.
Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
Kwani tayari utamaduni umejibu?mwache avune alichopanda
Amewachokozeni Warundi, haya sasa mjomba wenu mliyefikia kwake kaendazake.Acha uwongo unaweza bainisha hapa ukatili wa kakoko ulikuwa wapi? Na tangu wamchunguze je alishawahi kufikishwa mahakamani? Vijana fanyeni kazi acheni majungu kwa wakubwa zenu
Hakuna utajiri mkubwa hapa duniani Kama afya mzuri ya MWILI na akili (no stress)Ninasikia kuna taarifa mpya juu ya afya ya Job.
Ndiyo maana nikipata hela huwa ninavunja mifupa kwanza, kuna siku unaweza kuwa na pesa lakini nguvu ya kuvunja mifupa huna.Hakuna utajiri mkubwa hapa duniani Kama afya mzuri ya MWILI na akili (no stress)
Hata Kama wallet iko quorate Kama afya inamgogoro haisaidii.. hutakwenda kwa mchepuko, bia haishuki, nyama choma haitafuniki.
Haswaa yupo huru mwana ccm yule.Ufisadi halafu awe huru kweli?