OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,089
- 103,323
Dr. Kigwangala yupo humu aache kutisha kina dada, kwa sababu ana ID humu aje ajibizane humu. Kama hawezi basi arudishe hela walizoiba
nguru wee poriwataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
View attachment 1749048
Dr. Kigwangala yupo humu aache kutisha kina dada, kwa sababu ana ID humu aje ajibizane humu. Kama hawezi basi arudishe hela walizoiba
simu itafatiliwa kuhakikisha kama mi kweli aliambiwa hayo maneno.na kama hakuambiwa jua hapo atakuwa na kesi ya uhaini kwa amiri jeshi mkuu na nadhani unaijua adhabu ya uhaini ni ninKigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...
Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
Kigwa amechanganyikiwa sasa hajui afanye niniView attachment 1749048
Dr. Kigwangala yupo humu aache kutisha kina dada, kwa sababu ana ID humu aje ajibizane humu. Kama hawezi basi arudishe hela walizoiba
Safi kabisaKigangwala alipaswa awe muigizaji Tu
Uwaziri ni kumpa mzigo mzito...
Halafu kwanini asiseme Marehem ndo alimpigia simu kuagiza awalipe wasanii??
Hata kama sio kweli Nani atabisha??
Kipindi hiki kila mtu anamsingizia marehem ya kweli na yasiyo ya Kweli
Hamisi Kingwangallawataalamu wa kiswahili hivi mtoto wa nguruwe anaitwa nani ?
Duh...View attachment 1749048
Dr. Kigwangala yupo humu aache kutisha kina dada, kwa sababu ana ID humu aje ajibizane humu. Kama hawezi basi arudishe hela walizoiba
CCM wanatakiwa wampokonye kadi ya uwanachama kwanza ndio hatua zingine zifuate.View attachment 1749048
Dr. Kigwangala yupo humu aache kutisha kina dada, kwa sababu ana ID humu aje ajibizane humu. Kama hawezi basi arudishe hela walizoiba
Je kama walikutana Ikulu akapewa maelekezo??simu itafatiliwa kuhakikisha kama mi kweli aliambiwa hayo maneno.na kama hakuambiwa jua hapo atakuwa na kesi ya uhaini kwa amiri jeshi mkuu na nadhani unaijua adhabu ya uhaini ni nin
Siyo rahisi kihivyo. Kigwangalla yuko karibu sana na M/Kiti Mstaafu (Mzee wa Pwani).CCM wanatakiwa wampokonye kadi ya uwanachama kwanza ndio hatua zingine zifuate.