Cash out kisha rebet kwa mil 1.2 wacha upumbavu uwezekano wa kushinda hiyo mechi ni asilimia 18% ...Hii ndo inanifanya nisicash out. Law of averages inakataa kwamba kila siku Portugal awe anazingua. Kesho anamnyeshea kibonde. NITARUDI
Safi sana kiherehere chake kimemponza.Kuna dogo mmoja mkeka ukisoma milion 9 ikawa imebaki mechi moja tu apige mshindo....cash out ikawa laki 2 yeye aka cash out aisee mechi ikaisha kwa ile timu kushinda goli nne aisee dogo alisikitika sana
Atuchukui rushwaAisee wakamaria nawakubali sana muna roho ngumu mno yaani unakuta mwingine kaweka 5000 tu mkeka unasoma milion 19 ila imebaki game moja halafu cashout inasoma milion 3 unakuta mkamaria anakataa kucashout
Sisi wakamalia tuna msemo wetu kuwa gundu lako ataliweje aliwezi kuwafikia madrid au barcelon yani mikosi yako.aiwezi kufika ulaya😁Sema shida ya bet huwa Moja,ukibet kwa Siri bila kuonesha mkeka unakula ila Sasa kihere here kikikupanda ukawaonesha wadau huwa kama kuna nuksi,nakushauri chukua hela iliyopo mkononi mkuu huo mkeka mpaka sasa watu wenye macho ya husuda wameshauona na utachanika vibaya mno
Kwakweli hata Mimi hapa ningevuta hela tu hapa ndo Huwa mhindi anakaa anakucheckMkuu usi cash out mimi nilikosaga 82m nikachukua cash out 5.7m timu ya mwisho ikashinda mvua mkeka ukatiki uwezi amini ile 5m niliiona kama elfu 50 niliumia sana mwezi mzima nina mawazo
Eti rushwa🤣🤣🤣Atuchukui rushwa
Nitafatilia mechi halafu nitakufatilia na wewe 😁Nachukua 18M kesho saa 3 usiku.
Inategemea na timu gani, ingekuwa Haiti sawa au TunisiaNazidi kusisitiza usi cash out mkuu Hilo goma unapiga Portugal hawezi shindwa kutoa magoli mawili angalia wenzake wanavofanya. Uki cash out utakuwa mzembe vibaya mno
Uzbekistan anaruhusu Sana kufungwa kama Colombia alimoiga tatu kwa Portugal tatu au zaidi inawezekana. KUNI msimharibie mkeka wake hiyo ni pesa tayariInategemea na timu gani, ingekuwa Haiti sawa au Tunisia
Kwa full time sawa sasa kipindi cha kwanza uongo, mwenyewe weka lipa namba yako hapa zilipatikana 3 first half nakupa 10kUzbekistan anaruhusu Sana kufungwa kama Colombia alimoiga tatu kwa Portugal tatu au zaidi inawezekana. KUNI msimharibie mkeka wake hiyo ni pesa tayari
Mkuu si unipe tu Mimi Hilo liten 2019Kwa full time sawa sasa kipindi cha kwanza uongo, mwenyewe weka lipa namba yako hapa zilipatikana 3 first half nakupa 10
Hahahaha mi nilijua full time kumbe first half ndo kaomba goli tatu hapo inaweza ikawa shida ila asubiri dakika 25 za kwanza ndo atoe mpunga lazima kutakuwa na goli na cash out itapandaKwa full time sawa sasa kipindi cha kwanza uongo, mwenyewe weka lipa namba yako hapa zilipatikana 3 first half nakupa 10k
Kwenye roho yangu Portugal ndo nilikuwa nina uhakika 100% kupata 3 goals. Hao wengine niliweka kusindikiza tu kwa kutumia hisia na akili kwani game ya Portugal ipo mwishoni. Kama Canada alitoa, why not portugal. Na cha kushangaza zote tatu za mwanzo zilishinda 3-0 exactly at half time.KUNI hiyo game kumbuka umeweka 1st half, Ureno hawana uwezo wa kufunga goli 3 kipindi cha kwanza, full time utashangaa 2-0
Na saizi sina pressure. By the way hiyo 2M haiongezi thamani kwangu, so nimechill. Either 0 au 10M+. Bila 10M+ no cash out.Nazidi kusisitiza usi cash out mkuu Hilo goma unapiga Portugal hawezi shindwa kutoa magoli mawili angalia wenzake wanavofanya. Uki cash out utakuwa mzembe vibaya mno