Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Hii ndo inanifanya nisicash out. Law of averages inakataa kwamba kila siku Portugal awe anazingua. Kesho anamnyeshea kibonde. NITARUDI
Cash out kisha rebet kwa mil 1.2 wacha upumbavu uwezekano wa kushinda hiyo mechi ni asilimia 18% ...
 
Sema shida ya bet huwa Moja,ukibet kwa Siri bila kuonesha mkeka unakula ila Sasa kihere here kikikupanda ukawaonesha wadau huwa kama kuna nuksi,nakushauri chukua hela iliyopo mkononi mkuu huo mkeka mpaka sasa watu wenye macho ya husuda wameshauona na utachanika vibaya mno
Sisi wakamalia tuna msemo wetu kuwa gundu lako ataliweje aliwezi kuwafikia madrid au barcelon yani mikosi yako.aiwezi kufika ulaya😁
 
Ulizoshinda ndio za kwako; hizo ambazo bado si zako. Chukua hatua haraka sana kabla haijawa majuto.
 
KUNI hiyo game kumbuka umeweka 1st half, Ureno hawana uwezo wa kufunga goli 3 kipindi cha kwanza, full time utashangaa 2-0
 
Nazidi kusisitiza usi cash out mkuu Hilo goma unapiga Portugal hawezi shindwa kutoa magoli mawili angalia wenzake wanavofanya. Uki cash out utakuwa mzembe vibaya mno
 
Nazidi kusisitiza usi cash out mkuu Hilo goma unapiga Portugal hawezi shindwa kutoa magoli mawili angalia wenzake wanavofanya. Uki cash out utakuwa mzembe vibaya mno
Inategemea na timu gani, ingekuwa Haiti sawa au Tunisia
 
Uzbekistan anaruhusu Sana kufungwa kama Colombia alimoiga tatu kwa Portugal tatu au zaidi inawezekana. KUNI msimharibie mkeka wake hiyo ni pesa tayari
Kwa full time sawa sasa kipindi cha kwanza uongo, mwenyewe weka lipa namba yako hapa zilipatikana 3 first half nakupa 10k
 
Mkuu Portugal kipindi cha kwanza hazitoki goli tatu mkuu Mimi sichezi, timu za mwisho Huwa Dolo sana hiyo mil 2 na point inatosha itoe tu harafu weka pia KUNI
 
Kwa full time sawa sasa kipindi cha kwanza uongo, mwenyewe weka lipa namba yako hapa zilipatikana 3 first half nakupa 10k
Hahahaha mi nilijua full time kumbe first half ndo kaomba goli tatu hapo inaweza ikawa shida ila asubiri dakika 25 za kwanza ndo atoe mpunga lazima kutakuwa na goli na cash out itapanda
 
KUNI hiyo game kumbuka umeweka 1st half, Ureno hawana uwezo wa kufunga goli 3 kipindi cha kwanza, full time utashangaa 2-0
Kwenye roho yangu Portugal ndo nilikuwa nina uhakika 100% kupata 3 goals. Hao wengine niliweka kusindikiza tu kwa kutumia hisia na akili kwani game ya Portugal ipo mwishoni. Kama Canada alitoa, why not portugal. Na cha kushangaza zote tatu za mwanzo zilishinda 3-0 exactly at half time.
 
Back
Top Bottom