Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

Machale yananiambia wataingia na hasira kutokana na sare ya mechi ya kwanza. The same assumption nilitumia kubet Canada, Brazil and Spain to score three goals at first half.
Wewe jamaa, cash out kabla mambo yajaharibika
 
Ku-cover kivipi?
Match ikibaki mmoja huwa tuna cover hapo tunge cover kwa kuchukua million 1 then unacheza Portugal under 2.5 first half lakini odds yake ni ndogo sana.
Ku cover Huwa inatumika kwenye team zenye odds kubwa na si ndogo. Hapo naona mkeka wako hamuwezi kucover kutokana na option uliocheza .
Option pekee hapo cashout hela hapo kaka, Portugal kupata goal 3 first half ni ndoto
 
Match ikibaki mmoja huwa tuna cover hapo tunge cover kwa kuchukua million 1 then unacheza Portugal under 2.5 first half lakini odds yake ni ndogo sana.
Ku cover Huwa inatumika kwenye team zenye odds kubwa na si ndogo. Hapo naona mkeka wako hamuwezi kucover kutokana na option uliocheza .
Option pekee hapo cashout hela hapo kaka, Portugal kupata goal 3 first half ni ndoto
So far kwenye mzunguko wa pili, ni team 3 pekee zimescore 3 goals first half na zote zipo kwenye mkeka wangu; hauoni kama mpaka hapo naota vizuri?
 
Back
Top Bottom