Hi wadau,
Korosho ni tatizo, korosho limekuwa tatizo kwa muda mrefu na ninatatizo ambalo mpaka leo hii halina solution ya uhakika. Sasa kimefanyika kitu kizuri sana cha kuandaa Cashewnut investment forum ili kuweza kutafuta solution ya kudumu na kwenye tangazo ilionekana kuwa kikao kitafinyika chini ya usimamizi wa rais muheshimiwa John Magufuli. So due to that kiliwavutia watu wengi sana kuhudhuria na wengi wametoka nje ya nchi ili kuja kumsikia kiongozi mkuu wa nchi kuona nini kimeandaliwa, lakini kwa bahati mbaya kabisa kiongozi mkuu hajatokea na hakuna maelezo yeyote ya kwanini hapana.
Chumba kilichoandaliwa mkutano ni kidogo kuliko washiriki, microphone hazifanyi kazi vizuri, yaani all in all mambo hayako vyema kama ilivyotarajiwa. Some of us tuko very disappointed kwakutokuwepo mkuu wa nchi ambae ndio ultimatum kwenye suhala ili la korosho kama ambavyo alikuwa ultimatum those days.
Kikao kinafanyika utafikiri watu wamestukizwa, yaani utafikiri walikuwa hawajui kuwa kutakuwa na kikao.
Korosho ni tatizo, korosho limekuwa tatizo kwa muda mrefu na ninatatizo ambalo mpaka leo hii halina solution ya uhakika. Sasa kimefanyika kitu kizuri sana cha kuandaa Cashewnut investment forum ili kuweza kutafuta solution ya kudumu na kwenye tangazo ilionekana kuwa kikao kitafinyika chini ya usimamizi wa rais muheshimiwa John Magufuli. So due to that kiliwavutia watu wengi sana kuhudhuria na wengi wametoka nje ya nchi ili kuja kumsikia kiongozi mkuu wa nchi kuona nini kimeandaliwa, lakini kwa bahati mbaya kabisa kiongozi mkuu hajatokea na hakuna maelezo yeyote ya kwanini hapana.
Chumba kilichoandaliwa mkutano ni kidogo kuliko washiriki, microphone hazifanyi kazi vizuri, yaani all in all mambo hayako vyema kama ilivyotarajiwa. Some of us tuko very disappointed kwakutokuwepo mkuu wa nchi ambae ndio ultimatum kwenye suhala ili la korosho kama ambavyo alikuwa ultimatum those days.
Kikao kinafanyika utafikiri watu wamestukizwa, yaani utafikiri walikuwa hawajui kuwa kutakuwa na kikao.