huo jamaa alitoa hiyo taarifa athibitishe bhas mbona mi sielewi ukweli upo wapi na jamaa yangu kaingia kakuta kwenye profile lske hakuna kitu kama hicho bhana tusipeane plesha. toeni taarifa zenue uhakika
Kunajamaa yang amefungua amekuta tangazo aaply upya.na mwisho ni tar 18 september.mi kwangu kumeandikwa procesing.ila hawajaonesha chuo walicho nichagua.
Msada kaka zangu ntakuwa nilikosea wapi wa jameni?? Msaada tafazari
huo jamaa alitoa hiyo taarifa athibitishe bhas mbona mi sielewi ukweli upo wapi na jamaa yangu kaingia kakuta kwenye profile lske hakuna kitu kama hicho bhana tusipeane plesha. toeni taarifa zenue uhakika
Huenda kuna ukweli ,maana maybe kuna vyuo reporting time yake ni mapema so inabd wawe wamepangwa mapema ,so inawezekana it depend na vyuo ulivyochagua.