SHINYAKA
Member
- Oct 6, 2010
- 74
- 39
Habari zenu wana jamiiforums.
kwa wale wakaazi wa Dar es salaam Tz, naomba msaada, ni chuo gani hapa Dar kinachofundisha utengenezaji wa picha muondoko za cartoon kwa kutumia Computer?
palipo na wengi hapaharibiki jambo.
mail yangu ni henryideka@hotmail.com, tafadhali waungwana naomba nifahamishwe.
kwa wale wakaazi wa Dar es salaam Tz, naomba msaada, ni chuo gani hapa Dar kinachofundisha utengenezaji wa picha muondoko za cartoon kwa kutumia Computer?
palipo na wengi hapaharibiki jambo.
mail yangu ni henryideka@hotmail.com, tafadhali waungwana naomba nifahamishwe.