Ndioo hivyo mwambie huyo Dada aache ujinga umesema elimu yenyewe amesaidiwa na mume wake Leo kazi imekuwa bora kuliko mume anaweza kupanda vyeo huku ndoa inayumba hajui vyeo huwa vinaisha ndoa ni ya kudumu?Duuuh!!
Wewe mwenyewe umesema mume ndio anayeumia na akakuletea malalamiko wangekuwa wamecompromise kama unavyoshauri wala asingelalamika maana wangekuwa wamekubaliana kwamba bwana Fanya kwa muda fulan tukusanye mtaj halafu unajivua tunaendelea na yetuMnaweza mkacompromise tu pia, mkaumia kwa muda then baadae mambo yakawa sawa, mgano mama anaweza kupambana apate pesa afungue miradi mingine na aachane na kazi asimamie miradi yake na awe na muda wa familia.
Hata ndoa huwa zinaisha Daudi.Ndioo hivyo mwambie huyo Dada aache ujinga umesema elimu yenyewe amesaidiwa na mume wake Leo kazi imekuwa bora kuliko mume anaweza kupanda vyeo huku ndoa inayumba hajui vyeo huwa vinaisha ndoa ni ya kudumu?
Sijasema kuwa wao ndio wamecompromise, bali nimeitoa tu kama one of the solutions as wadau wamechangia pia hivyo.Wewe mwenyewe umesema mume ndio anayeumia na akakuletea malalamiko wangekuwa wamecompromise kama unavyoshauri wala asingelalamika maana wangekuwa wamekubaliana kwamba bwana Fanya kwa muda fulan tukusanye mtaj halafu unajivua tunaendelea na yetu
ndoaaa haziishiii mama ila zinayumba wanandoa wanaanchana ila agano la ndoa linaishi na anayebaki kulisimamia ni mtoto ndio maana mnaweza mkagombana lakin likija suala la mtoto hata kama utaolewa sehemu nyingine bado utakaa na kujadili na baba watoto wako linabaki in agano kati yenu n hakuna wa kutenguaaaaHata ndoa huwa zinaiha Daudi.
By the way cha msingi ni kutafuta namna bora ya kubalance.
Kuna ambao hawakufunga ndoa na walizaa na linapokuja suala la mtoto wanakaa pamoja hata kama walitengana.ndoaaa haziishiii mama ila zinayumba wanandoa wanaanchana ila agano la ndoa linaishi na anayebaki kulisimamia ni mtoto ndio maana mnaweza mkagombana lakin likija suala la mtoto hata kama utaolewa sehemu nyingine bado utakaa na kujadili na baba watoto wako linabaki in agano kati yenu n hakuna wa kutenguaaaa
ndoa tayari hiyo mama au unafikri ndoa mpaka kanisani au msikitini?Kuna ambao hawakufunga ndoa na walizaa na linapokuja suala la mtoto wanakaa pamoja hata kama walitengana.
Good analysis, kwahiyo tatizo ni msingi wa ndoa.Ngoja na mie nijaribu kushauri. Kwanza ni Muhimu kujua kwa Mara ya kwanza kukutana nini kulichowasukuma muoane. Hii itasaidia kujua kama ktk hatua zenu mnatimiza malengo yenu. Kama drive yenu ilikuwa ni kupata company ya MTU mtakayetiana moyo kila Siku basis ndoa ya sina hii ni shida. Kama sex ndio iliwasukuma basis ndoa iko mashakani. Pia tunaoa ili tufurahie mapenzi in a daily or kila ninapohitaji. Kiukweli ndoa ya jinsi hiyo lazima iwe mzigo
Kweli watu wanatofautiana mkuu.Atafute housegirl mzuri tu awe mnyiramba au mrangi hawana shida hao ...wanakata viuno htr ila mke wake ampe heshima zote kamwe asimdharau(jokes)....binafsi napenda mwanamke ambaye yupo busy sn ila asiwe kicheche tu kwajinsi nilivyo napenda space kubwa sn yan kua commited sn inanikera tu huyo wa kukutana nae mara chache chache ndo mzuri ili nifanye hobby zangu ...kucheki mpira...kucheza draft ...kwenda gym...kwenda swimming pool yan uwaga nina mambo mengi ambyo nazeeka nayo na nayapenda bado ...na hapo akirudi home ntamtoa stress zote coz am very charming...ila tu i always need space,shida ni kwamba watu wanaingia kwenye ndoa wakidhani ni mhm mda wote kuwa pamoja ila mi napenda ndoa ambyo mnapeana likizo ya week kila ht baada ya mwezi...arudi kwao au aje ukweni na mimi nika enjoy life ....kuna vitu vya kufanya ila ndoa sio kitu serious sn km unavyodhani kikubwa muwe waaminifu,muheshimiane na muwasiliane....nothing is serious....
Za Valentine. aisee unapotea mnoDaaah huu uzi umeenda?! ila nitausoma tu wote maan naona una mambo mazuri
Sista espy, Heaven Sent hata hamjanitag looh!!
Nzuri sista, aisee nisameheni bure kwa kweli, i miss you sanaZa Valentine. aisee unapotea mno
Mmh hiyo namna bora ya kubalance distance relationship sidhani kama ipo sista, labda wajisajiri kutiana online, teh!...... cha msingi ni kutafuta namna bora ya kubalance.
Mmh, labda skype, imo and the like
Ipo bwana.