Career women: Nisaidieni katika hili

Ndoa ni kwa shida na raha.,
Ni vyema ukiona mumeo kasimamia vyema nafasi ya mume na provider ndani basi mwanamke ukatafta kazi ambayo inasupport role yako kama mlezi wa familia... Otherwise kama mwanaume ni lelemama mwanamke huna budi kujitahidi msonge mbele
 
Naam naaam ngoja nikae vizuri :
Hili jambo ni pana saana kiuweli ila
Kabla ya yote inategemeana na aina ya kazi, mazingira, aina ya ndoa(wanaheshimiana kwa kiasi gani), na umri wa ndoa pia(ukubwa wa familia je watoto wapo? Wangapi?) Na mengineo.

Naandika naishia katikati hili suala linategemeana na jinsi familia ilivyo.
 
Hapo cha kwanza ni love, pili trust, tatu ni commitment to each other, unakuwa mbali na nyumbani kama love ipo mtapigiana simu na pia mtaaminiana, cha tatu uliesafiri unajua kuwa unafanya vile kwaajili ya familia na aliye nyumbani hali kadhalika.
Hili suala naona ni rahisi kwa wenzetu wazungu kwa sisi waafrika ambao tumezoea mwanamke ndio wa kuwa nyumbani inakuwa changamoto kwakweli.
 
Naam naaam ngoja nikae vizuri :
Hili jambo ni pana saana kiuweli ila
Kabla ya yote inategemeana na aina ya kazi, mazingira, aina ya ndoa(wanaheshimiana kwa kiasi gani), na umri wa ndoa pia(ukubwa wa familia je watoto wapo? Wangapi?) Na mengineo.

Naandika naishia katikati hili suala linategemeana na jinsi familia ilivyo.
Kwa case nilioitoa wana mtoto mmoja, na mwanamke anadai it has to wait kwanza kuwa na mtoto mwingine maana yuko busy sana kwa sasa.
 
Mmhh apo mama kuacha kazi ni ngumu na baba nae kashachoka kuplay as a mother na father apo apo........ Kwani mama hana likizo??? Aombe basi japo kalikizo kasichokua na malipo ili amfurahishe mume wake even once a year..... Duh izi ndoa nazo ni ngumuuuuu yani hamna penye afadhali
 
Hili suala naona ni rahisi kwa wenzetu wazungu kwa sisi waafrika ambao tumezoea mwanamke ndio wa kuwa nyumbani inakuwa changamoto kwakweli.
Inawezekanika hata kwetu japo suala geni siku zote lina changamoto zake.

Binafsi : ningewashauri wqfanye namna mmoja(ke) amfuate/ahamie kwa mwezake waishi sehemu moja na wawe na mdada wa kazi.

Wakiamka asubuhi siku za kazi mdada wa kazi anasaidiana na mama kazi ndogo ndogo kama vyombo chai na kufagia uwanjani kama upo huku mzee akiendela na kazi zingine kama kupasi (zake na za mkewe), kuzuga na mtoto wakati wife akiwa busy. Baada ya hapo wanaenda kazini wanamwacha mdada wa kazi na mtoto.

Mchana kila mmoja anakula kazini kwake ni (utaratibu wa ofisi nyingi).jioni mama + wanawahi nyumbani kwa majukumu ya jioni.

Note: familia ya namna hii inahitaji ndoa sio vidoa doa vya kuokotana. Halafu inabidi muelewe sisi wanaume wa kiafrica kuishi kizungu labda mtuzoeshe taratibu mpaka karne ijayo. Kazi za nyumbani kama kupika, kufagia,kudek, kufua nguo za mtoto, usimpangie mmeo ratiba la sivyo mtagombana.
Kwa case nilioitoa wana mtoto mmoja, na mwanamke anadai it has to wait kwanza kuwa na mtoto mwingine maana yuko busy sana kwa sasa.
 
Mmhh apo mama kuacha kazi ni ngumu na baba nae kashachoka kuplay as a mother na father apo apo........ Kwani mama hana likizo??? Aombe basi japo kalikizo kasichokua na malipo ili amfurahishe mume wake even once a year..... Duh izi ndoa nazo ni ngumuuuuu yani hamna penye afadhali
Maybe mama anapalilia cheo kipya, maana haina muda mrefu sana.
 
Kwa case uliyoiweka hapo juu, hawa wazazi wana hatari ya kupoteza mapenzi na mototo wao, mtoto akiwa mdogo anahitaji kuwa na attachment na wazazi wake. Ni raha kiasi gani kumfundisha mwanao jinsi ya kuosha sahani yake, kufua nguo, au kujitunza kike kama ni wa kike, hata kumfundisha kukata vitunguu na nyanya.

Mama alitakiwa siku anazokuwa nyumbani a show love to the family, mchana anakuwa na mtoto wake wakifanya kazi za ndani na usiku watu wa kilala unamkumbusha mume wako kuwa wewe ni yule aliyekutolea posa kwenu.
 
Inawezekanika hata kwetu japo suala geni siku zote lina changamoto zake.

Binafsi : ningewashauri wqfanye namna mmoja(ke) amfuate/ahamie kwa mwezake waishi sehemu moja na wawe na mdada wa kazi.

Wakiamka asubuhi siku za kazi mdada wa kazi anasaidiana na mama kazi ndogo ndogo kama vyombo chai na kufagia uwanjani kama upo huku mzee akiendela na kazi zingine kama kupasi (zake na za mkewe), kuzuga na mtoto wakati wife akiwa busy. Baada ya hapo wanaenda kazini wanamwacha mdada wa kazi na mtoto.

Mchana kila mmoja anakula kazini kwake ni (utaratibu wa ofisi nyingi).jioni mama + wanawahi nyumbani kwa majukumu ya jioni.

Note: familia ya namna hii inahitaji ndoa sio vidoa doa vya kuokotana. Halafu inabidi muelewe sisi wanaume wa kiafrica kuishi kizungu labda mtuzoeshe taratibu mpaka karne ijayo. Kazi za nyumbani kama kupika, kufagia,kudek, kufua nguo za mtoto, usimpangie mmeo ratiba la sivyo mtagombana.
Duuuh!! Kwanza mwanamke kuhamia aliko mume ni ngumu kidogo maybe itachukua muda sana maana kahamishiwa mkoa tofauti miezi mitano iliyopita baada ya kupandishwa cheo.

Hiyo ya kufanya kazi za nyumbani kabla ya kwenda kazini ni ngumu maana mtu anayeondoka nyumbani saa 11asubuhi ili afanye hizo kazi ataamka saa ngapi?
Maybe kwa wale wanaoishi maeneo yasiyo na jam.

hapo pa kuishi kizungu eti tuwazoeshe hadi karne ijayo, why msijizoeshe wenyewe maana mambo na nyakati zimebadilika?
 
Hii ndoa lazima itakumbwa na dhoruba tu!
Mahusiano ya mbali yanachangamoto nyingi, hivyo mutual love&trust vitainusuru ndoa hii
Ingekuwa ni wewe mkuu ndio mkeo huyo, ungefanya nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom