toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Nilienda kutoa pesa kwenye moja ya Atm zao nikakuta hakuna salio nikawa nangoja card itoke lakini cha ajabu ikamezwa!ilikua jana hiyo
Cha kushangaza ni kuwa wananiambia card yangu imekwisha muda wake wakati nimejiunga nao mwaka jana tu hapo mwezi December!
Ni issue ni kwamba account namba sikukariri chochote zaidi ya password yangu tu hata sijui nafanyaje
Nimeambiwa niende tawi lao nikaenda nilipofungulia nashangaa naambiwa umeme hakuna! ikabidi niondoke tu wakanambia niende tawi jingine
Wakuu nisaidieni jee nifanyeje? Nifanyeje maana pesa ndo huwa zinatumwa kupitia huko na ndo iko registered kwenye mishahara yangu kwamba ndo pesa inatakiwa iingie huko na jana tu na kuna hela nyingi tu inatakiwa itumwe huko
Na itachukua muda gan kuipata?
Kingine naomba kujuzwa nikienda kama nitatozwa gharama yoyote!,Maana nahisi nimevurugwa
Asanteni
Cha kushangaza ni kuwa wananiambia card yangu imekwisha muda wake wakati nimejiunga nao mwaka jana tu hapo mwezi December!
Ni issue ni kwamba account namba sikukariri chochote zaidi ya password yangu tu hata sijui nafanyaje
Nimeambiwa niende tawi lao nikaenda nilipofungulia nashangaa naambiwa umeme hakuna! ikabidi niondoke tu wakanambia niende tawi jingine
Wakuu nisaidieni jee nifanyeje? Nifanyeje maana pesa ndo huwa zinatumwa kupitia huko na ndo iko registered kwenye mishahara yangu kwamba ndo pesa inatakiwa iingie huko na jana tu na kuna hela nyingi tu inatakiwa itumwe huko
Na itachukua muda gan kuipata?
Kingine naomba kujuzwa nikienda kama nitatozwa gharama yoyote!,Maana nahisi nimevurugwa
Asanteni