Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Hahaahaha!
Air Tanzania umejionyesha ulivyochukuliwa na makaburu leodamn! Why you man!!
Kama unataka tuongelee gari nzuri na sio gari ghali wewe sema tuongee mkuu!
Sisi tupo bongo na tunapiga corner na nissan hardbody za mkaburu, tunazungusha na rover za uk na tunatambaa na nissan za japan vile vile!!
Stop that shit about wa-tz hawawezi this and that, especially kuongelea swala la bei.
Unajua bei ya nissan navara ya UK na ya SA, same yr, same mealage? Na unajua tofauti zake?
Air Tanzania umejionyesha ulivyochukuliwa na makaburu leodamn! Why you man!!
Kama unataka tuongelee gari nzuri na sio gari ghali wewe sema tuongee mkuu!
Sisi tupo bongo na tunapiga corner na nissan hardbody za mkaburu, tunazungusha na rover za uk na tunatambaa na nissan za japan vile vile!!
Stop that shit about wa-tz hawawezi this and that, especially kuongelea swala la bei.
Unajua bei ya nissan navara ya UK na ya SA, same yr, same mealage? Na unajua tofauti zake?