Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,903
- 4,673
Nchi itapinduliwa hii kiongozi narudia tena.Achana na haya ya captain Tesha lakini kuwa nasubira.Naongea tena nchi hii itapinduliwa na hakuna wa kuzuia(muda na saa hakuna ajuaye).wanajeshi watapinduaje nchi wakati hawachukizwi na yanayotokea nchini? Unaambiwa huyo capitaine tesha ni wa mchongo, ni kanjanja si mwanajeshi!
Nani amethibitisha kuwa Tesha sio mwanajeshi?wanajeshi watapinduaje nchi wakati hawachukizwi na yanayotokea nchini? Unaambiwa huyo capitaine tesha ni wa mchongo, ni kanjanja si mwanajeshi!
Samia ataondolewa kama walivyo ondolewa wajomba zake kule zanzibar...mwisho wake utakuwa mbaya sana."Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu"
"Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi"
"Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu"
"Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni mara ngapi niwaambie kuwa "Kifo ni kifo tu, msilete taharuki mitandaoni ππ"
Hapo Bi Chura anatafuta maneno ya kumchamba Tesha ila atapata tabu sana yeye na genge lake
Nasemaje, hata kama JWTZ limekataa kuchukua nchi, October 29 kitaeleweka. Tutaandamana mpaka pale Bi Chura atakapojiuzulu. Anaharibu nchi yetu huyu mama na genge lake akina Kikwete, Rostam na Abduli"
Yawezekana hata JWTZ kwenye uongozi kuna machawa wa CCM, ila huu mwaka hamtashinda.
Samia ajiuzulu, Tesha awe Rais π
AI bwanaa...! Hivi isingekuwa AI tungesingizia nini?...kuchimba makaburi kweli!?
Sio AI, ni real videoAI bwanaa...! Hivi isingekuwa AI tungesingizia nini?
Hakika. Naisubiri kwa hamu hiyo sikuSamia ataondolewa kama walivyo ondolewa wajomba zake kule zanzibar...mwisho wake utakuwa mbaya sana.
Bila shaka hujasoma uzi hadi mwishoWavaa majani bwana hamnaga hoja za msingi zaidi ya kulopokalopoka tu, kwahiyo unataka tusiheshimu katiba tuheshimu makalio yenu?.
Kifupi sion akimaliza hii miaka mitano, sawa kura wataiba, ila hatoboiNiamini mimi hiki kitu nimekaa nacho muda sema nlishindwa kuweka wazi maana waswahili kuamini mpaka waone.Nchi hii itapinduliwa hata sio lazima mwaka huu ila ni kwamba hili jambo litatokea na liko nje ya uwezo wa binadamu.
Kwanza niseme tu habari ambayo itakuacha na maswali lakini ni hivi Tanzania imechaguliwa na Mungu(ukweli na ushahidi ninao mimi).Hili jambo la mapinduzi ya kijeshi nimeanza kuona ilikuwa nadhani mwishoni mwa 2020 kipindi nipo Kibo(kuna jamaa nlikuwa naenda kwake Bunju kuna siku nikamwambia Magufuri atapinduliwa japo sikujua kama jambo lingechukua muda lakini yeye akaja tu kufa kifo tu cha kawaida)
Huyu mama hata apite uchaguzi ni either atapinduliwa au hatamaliza muda wake(tupo wote mtakuwa mashahidi)
Hawezi man yani wafanye wanavyoweza sema kutoboa ni ngumuKifupi sion akimaliza hii miaka mitano, sawa kura wataiba, ila hatoboi
Unataka kusema na Afro oil nayo mtaichukua! π±Mali zote za kikwete zitarudi Kwa wananchi
π ni AIHii nayo watasema ni AI, ilimradi tu kujifurahisha wao.
Ulitaka nifike mwisho kivipi wakati naona uzi hauna cha maana zaidi ya kunitia hasira na kunivuruga!.Bila shaka hujasoma uzi hadi mwisho
Kiongozi naomba nikurekebishe kidogo, hasemi katiba ni kitabu ila ni kijitabu"Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu"
"Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi"
"Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu"
"Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni mara ngapi niwaambie kuwa "Kifo ni kifo tu, msilete taharuki mitandaoni ππ"
Hapo Bi Chura anatafuta maneno ya kumchamba Tesha ila atapata tabu sana yeye na genge lake
Nasemaje, hata kama JWTZ limekataa kuchukua nchi, October 29 kitaeleweka. Tutaandamana mpaka pale Bi Chura atakapojiuzulu. Anaharibu nchi yetu huyu mama na genge lake akina Kikwete, Rostam na Abduli"
Yawezekana hata JWTZ kwenye uongozi kuna machawa wa CCM, ila huu mwaka hamtashinda.
Samia ajiuzulu, Tesha awe Rais π
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Yani Samia na watoto wake wote akili kisoda, Yan Wanu anatoa ahadi ya kununua mashine ya kuchimba makaburi kweli!?
Hamna mtu mwenye akili timamu anaweza kuendelea kufagilia kuongozwa na familia ya vichaa kama Ile.
Mafisadi watalia na kusaga meno"Tumeanza kuona mwenendo na mtiririko wa viumbe wakiwa wanakuja mitandaoni na kuandaa maudhui ya kuvuruga amani yetu"
"Captain Tesha anajaribu kuleta nywinywi, na nywinywinywi"
"Anataka tufuate katiba, kwa nini tufuate katiba? Katiba ni kitabu tu"
"Eti analalamika kuwa tunaua wakosoaji. Ni mara ngapi niwaambie kuwa "Kifo ni kifo tu, msilete taharuki mitandaoni ππ"
Hapo Bi Chura anatafuta maneno ya kumchamba Tesha ila atapata tabu sana yeye na genge lake
Nasemaje, hata kama JWTZ limekataa kuchukua nchi, October 29 kitaeleweka. Tutaandamana mpaka pale Bi Chura atakapojiuzulu. Anaharibu nchi yetu huyu mama na genge lake akina Kikwete, Rostam na Abduli"
Yawezekana hata JWTZ kwenye uongozi kuna machawa wa CCM, ila huu mwaka hamtashinda.
Samia ajiuzulu, Tesha awe Rais π