TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

Jamani!!! komba hakutenda mazuri?mbona naona yanatajwa mabaya yake tu!,naomba kama kuna mtu anayefahamu mazuri yake ayataje.
 
kuzaliwa1954, shule ya msingi Lituhi 63-70, sekondari songea boys 71-74, ualimu Kleruu 1976, 1978 diploma ya cadet Monduli-jwtz, 1988-1990 diploma ya siasa ujerumani, 1992 alistaafu jeshini, 2006-2008 shahada ya siasa Washington. So kafanya ualimu for one yr, then jeshini, director TOT, mpaka anakufa alikuwa mkuu wa utamaduni CCM. Kwa kifupi kiongozi




kuzaliwa1954, shule ya msingi Lituhi 63-70, sekondari songea boys 71-74, ualimu Kleruu 1976, 1978 diploma ya cadet Monduli-jwtz, 1988-1990 diploma ya siasa ujerumani, 1992 alistaafu jeshini, 2006-2008 shahada ya siasa Washington. So kafanya ualimu for one yr, then jeshini, director TOT, mpaka anakufa alikuwa mkuu wa utamaduni CCM. Kwa kifupi kiongozi
Asante kwa wasifu huo. Nilimwona Mara ya kwanza akiwa ni mwalimu shuleni ya msingi iliyo jirani na Lugalo sec school nikiwa form one 1977 na akapotea pale. Nikaambiwa kwenda jeshini. Walikuwa kijeba toka zamani na pia sauti Kali na ya amri amri tu. Uaskari na uimbaji na pia kuongea roughly ndo nilikuwa legacy yake. Umenikumbusha vizuri sana.
 
R.I.P Mh,captain Komba. Ulisema utakwenda msituni kumbe Mungu amekupenda zaidi kakuchukua kabla hujaenda msituni.
 
Naungana nawe kwa asilimia 100%.Chuki hata mtu anapofarikibado watu wana chuki nawe Tanzania tumefika pabaya. Capteni Komba hakuwa nazuri hata moja? Yeye ni Binadamu anaweza kusema kitu kiubinadamu tu.
Na kama wapenziwaupinzani mawazo yao ni haya na hulka zao ni hizi nina masikitiko makubwa kwanini miezi tu imebaki na nachelea kusema hatuna mbadala, hatuna matumaini. Kwa sababuendapo mbadala tunaowategemea na wapenziwao wana hulka kama zinavyoji-display hapa naaam kwa hakika watanzania hatunambadala. Hiki ndio kitu kikubwa nilichojifunza kutokana na comments za kifo chaKapteni Komba, RIP.

Kukataza watu wasisemee mabaya alokuwanayo ni UNAFKI wa hali ya juu, watu wamepima wakaona mabaya yana uzito kuliko mazuri ndiyo maana wanayasemea, hiyo haikuzuii wewe unayeona mazuri mengi kuliko mabaya kusema!

Hawa wazee (Warioba) wanakaribia kufa - Captain John Komba
 
“Kwa hakika, sina maneno ya kutosha kuelezea kwa fasaha
hasara ambayo taifa letu na chama chetu kimepata kutokana na kifo cha Kepteni
Komba. Taifa letu limepoteza hazina kubwa na mtu
muhimu"

Kauli ya Raisi Kikwete juu ya kifo cha Komba.

Kwendraaaaaaaaa inji imepata faida

Katika wapuuz wa nji hii jon was among them rest in hell jon
 
Naungana nawe kwa asilimia 100%.Chuki hata mtu anapofarikibado watu wana chuki nawe Tanzania tumefika pabaya. Capteni Komba hakuwa nazuri hata moja? Yeye ni Binadamu anaweza kusema kitu kiubinadamu tu.
Na kama wapenziwaupinzani mawazo yao ni haya na hulka zao ni hizi nina masikitiko makubwa kwanini miezi tu imebaki na nachelea kusema hatuna mbadala, hatuna matumaini. Kwa sababuendapo mbadala tunaowategemea na wapenziwao wana hulka kama zinavyoji-display hapa naaam kwa hakika watanzania hatunambadala. Hiki ndio kitu kikubwa nilichojifunza kutokana na comments za kifo chaKapteni Komba, RIP.
MACCM hovyo sana. chuki mmezipanda wenyewe mioyoni mwa watanzania lakni mnategemea eti wawe na upendo, utoke wapi upendo? mnaotesha mapapai halafu mnategemea kuvuna mahindi kama si ujuha ni nn hiyo sasa?!! vichwa vyeti mnavipasua kwa marungu ya mapolisi, marafiki zetu mnawapasua utombo kwa mabomu ya mapolisi, ndugu zetu albino mnawakatakata viungo, meno na kucha zetu mnaving'oa bila ganzi, mali zetu mnakwiba na kwenda kuzificha uswizi huku sisi tukiteketea kwa njaa na magonjwa yanayozuilika....i mean mnatufanyia kila aina ya dhulumati halafu cha ajabu mnategemea eti tuwe na upendo nanyi. tufanyieni dhulumati lakini jueni nanyi pia ni binadamu, hata kama itachelewa lakni kwa kuwa ninyi nanyi ni binaadamu siku yenu itafika tu one day....

chuki mlizotujaza zimejaa vifuani mwetu lakin kuna siku ya siku chuki hizo zitalipuka.
 
Kama Watanzania Taifa la watu wenye UTU(humanity) tumefikia mahali hapa kufurahia kifo cha mtu na kushangilia basi ninasikitika sana KWELI ninasikitika sana, Marehemu Captain John Komba ni mwanadamu kama sisi na kama wanadamu wengine ana mazuri yake na mabaya yake ana mema na mapungufu siyo VEMA hata kidogo kumtukana Marehemu na kufurahia kifo chake! Hebu jiulize mwenyewe kama Captain Komba angekuwa mzazi wako au ndugu yako watu wakawa wanafurahia kifo chake ungejisikiaje? Kuingia msituni kupinga serikali tatu ni mtazamo wake maana anaona mapungufu ya serikali tatu na madhara yake na ninyi mnaopinga serikali mbili mna mitazamo yenu na mnaona mapungufu ya serikali mbili na madhara yake(hiyo ni mitazamo) na inatakiwa kupingana kwa hoja na tofauti zenu za mitazamo iwe ndiyo umoja wenu kama taifa la watu wenye utu na hoja siyo kutukana na kujengeana uadui, hakuna anayejua salio halisi la maisha yake! Komba amefariki but who's next? Labda mimi au wewe! Hivyo tuepuke kutoa majibu emotional maana si VEMA kwa kiongozi kuongozwa na hisia, wengi mmeonyesha hisia za chuki huku mkijinadi kama mbadala wa utawala uliopo I can tell you that the situation will worsen than now because you guys don't think like actual leaders! Act and live like a righteous leader even though you're not in the system, Nimesikitishwa sana na kifo cha ndugu yetu Captain John Komba alikuwa mwimbaji mzuri na mhamasishaji mzuri sana wa yale anayoyaamini, Mungu amrehemu na kumpumzisha, AMEN

Uko sahihi mkuu, kifo ni utaratibu uliowekwa na mwenyezi Mungu na kila nafsi itaonja mauti. Wanadamu wa sasa tumefikia hatua ya kutoogopa kifo, hivyo tunabeza mipango ya mwenyezi Mungu. Kifo kinapototokea tunayo nafasi ya kujifunza kwa mazuri au mabaya hivyo kubadilika katika mtazamo chanya. Kama tunafikia hatua ya kuchekelea kuondoka kwa binadamu mwenzetu, tutarajie yatukute hayahaya tunapofariki!
Inasikitisha sana !
RIP KOMBA!
 
Inasemekana Komba alishajipanga studio kutoa vibao vya kumpigia kampeni Lowassa
 
Hicho Ndicho Kikubwa Kwani Madeni Yalimzidi Mno Na Ilikuwa Ni Leo Ambapo Ule Uwanja Wake Mkubwa Uliopo Sehemu Nzuri Kibiashara Maeneo Ya Basihaya Upigwe MNADA Kisha Zifuatie Na Nyumba Zake Na Mali Zake Sasa Kwa Mtaji Huo Kuna Cha Kuishi Kweli? Jamaa Pesa Zake Zote Za Mikopo Kazitumia Vibaya Na Madada Zetu Na Mademu Zetu Na Najua Msanii Elizabeth Michael a.k.a LULU Atakuwa Ameumia Mno Kwani Ile Nyumba Kubwa Aishiyo Yeye Na Mama Yake Mbezi Kimara Marehemu Ndiyo Kasababisha Achilia Mbali Vinchechede Vingine. Huyu Jamaa Hakika Sitamsahau Pale Ambapo Alipomwita Rafiki Yangu Mmoja Maeneo Ya Kawe Na Kumwambia Ampe Shilingi Ngapi Ili Aachane Na Demu Wake Kisha Yeye ( Marehemu ) Amchukue......Hivyo Ni Baadhi Tu Ya Visa Vyake. Nipo Sasa Hapa Maeneo Karibu Kabisa Na Nyumbani Kwake Na Kuna NYOMI Ya VIP Na Sisi Watoto Wa Kitaa Cha Mbezi. Sasa Ni Wakati Wa Watoto Wake Kukatana Mapanga Kwa Kugombania Mali Za Urithi Ambazo Hata Hivyo Nyingi Zitapigwa Tu MNADA Hata Kama Karesti Ini Pisi!

Kwa kweli Komba kaacha Majanga Nyuma aliendekeza Michepuko kasahau kulipa Madeni ya Benk.
 
MACCM hovyo sana. chuki mmezipanda wenyewe mioyoni mwa watanzania lakni mnategemea eti wawe na upendo, utoke wapi upendo? mnaotesha mapapai halafu mnategemea kuvuna mahindi kama si ujuha ni nn hiyo sasa?!! vichwa vyeti mnavipasua kwa marungu ya mapolisi, marafiki zetu mnawapasua utombo kwa mabomu ya mapolisi, ndugu zetu albino mnawakatakata viungo, meno na kucha zetu mnaving'oa bila ganzi, mali zetu mnakwiba na kwenda kuzificha uswizi huku sisi tukiteketea kwa njaa na magonjwa yanayozuilika....i mean mnatufanyia kila aina ya dhulumati halafu cha ajabu mnategemea eti tuwe na upendo nanyi. tufanyieni dhulumati lakini jueni nanyi pia ni binadamu, hata kama itachelewa lakni kwa kuwa ninyi nanyi ni binaadamu siku yenu itafika tu one day....

chuki mlizotujaza zimejaa vifuani mwetu lakin kuna siku ya siku chuki hizo zitalipuka.

Chukua 10 kabisa!!!
 
Kifo hakiwezi kumuondolea mtu dhambi zake,kama ni hivyo,kila mtu angetamani afe ili dhambi zake zifutwe. Komba pamoja na kwamba katangulia mbele ya haki hakumpi nafasi ya kuwa mwema sana kwa maneno na kauli zake za dharau,chuki nk.
Hata tukiweka uzito(weighting) bado mabaya ya komba yatakuwa mengi kuliko mazuri yake. Tusitumie vifo kutakasa dhambi zetu na kusafisha watu waliokuwa hawana utu na kuombea watu wengine vifo.
 
Kifo hakiwezi kumuondolea mtu dhambi zake,kama ni hivyo,kila mtu angetamani afe ili dhambi zake zifutwe. Komba pamoja na kwamba katangulia mbele ya haki hakumpi nafasi ya kuwa mwema sana kwa maneno na kauli zake za dharau,chuki nk.
Hata tukiweka uzito(weighting) bado mabaya ya komba yatakuwa mengi kuliko mazuri yake. Tusitumie vifo kutakasa dhambi zetu na kusafisha watu waliokuwa hawana utu na kuombea watu wengine vifo.
Ufisadi pesa za TOT na Michechepuko ndiyo ilikuwa Tatizo kubwa.
 
Uko sahihi mkuu, kifo ni utaratibu uliowekwa na mwenyezi Mungu na kila nafsi itaonja mauti. Wanadamu wa sasa tumefikia hatua ya kutoogopa kifo, hivyo tunabeza mipango ya mwenyezi Mungu. Kifo kinapototokea tunayo nafasi ya kujifunza kwa mazuri au mabaya hivyo kubadilika katika mtazamo chanya. Kama tunafikia hatua ya kuchekelea kuondoka kwa binadamu mwenzetu, tutarajie yatukute hayahaya tunapofariki!
Inasikitisha sana !
RIP KOMBA!

Muwaambie CCM waache kutupeleka mistuni na kutuacha huko nusu wafu! Hivi nikuulize swali; je yule mama muuza pombe aliyeuawa kule Ilula kwenye purukushani ya Polisi kusaka watu wanaokunywa pombe saa za kazi ili kumfurahisha mtoto wa mkulima angekuwa mzazi wako ungejisikiaje!? Halafu hiyo pombe saa za kazi kwani walianza kunywa siku ile ya purukushani na msako!? Siku zote mnawatafutiaga pesa ya kula nyie!? Polisi walitumwa na nani!? Walianzisha msako ili kumfurahisha pinda!? Wacheni huo upuuzi wenu!? Wengi tunaumizwa na dhuluma inayofanywa na CCM!
 
mi sijaona hasara yoyote kufa huyu mzee acha afe tena kaburi walichimbe 10 feets under asije fufuka alijifanya sana eti ataingia mistuni
afeeeeee nyangau kabisa
 
Muwaambie CCM waache kutupeleka mistuni na kutuacha huko nusu wafu! Hivi nikuulize swali; je yule mama muuza pombe aliyeuawa kule Ilula kwenye purukushani ya Polisi kusaka watu wanaokunywa pombe saa za kazi ili kumfurahisha mtoto wa mkulima angekuwa mzazi wako ungejisikiaje!? Halafu hiyo pombe saa za kazi kwani walianza kunywa siku ile ya purukushani na msako!? Siku zote mnawatafutiaga pesa ya kula nyie!? Polisi walitumwa na nani!? Walianzisha msako ili kumfurahisha pinda!? Wacheni huo upuuzi wenu!? Wengi tunaumizwa na dhuluma inayofanywa na CCM!

Mungu hoyeeeeee bado joka la makengeza na profesa magumash
 
hakujitengenezea mi single yake siku atakapo kufa au kazi ilikuwa kuwatungia wenzake tu
 
Back
Top Bottom