Jamaa ni dume la Mbegu................... yaani maisha ya leo bado kuna watu wanazaa watoto 9 tena wengine nje ya ndoa!! Labda amewapata na pesa ya Ubunge ................maana pesa ya Ualimu au Jeshi isingetosha. Anyway, halafu usije shangaa kesho yupo jukwaani anajaribu kuwaasa wananchi kuhusu UKIMWI .................. Hivi kweli kuna mtu atamsikiliza!!??