Can't a brotha just be cool with a mama??

Can't a brotha just be cool with a mama??

Roger Sterling

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2015
Posts
13,010
Reaction score
23,653
Kuna binti tunafanya kazi industry moja, so wakati mwingine huwa tunafanya kazi pamoja. Nimetokea ku-connect sana na huyu manzi, toka siku ya kwanza. Na tunaelewana kinoma, na mambo yananoga zaidi cuz anajua kiswahili kiasi chake. Rafiki na tunaofanya nao kazi kwa karibu wanajua uhusiano wetu, ila tatizo ni wanalazimisha kuwa kuna zaidi au kulitakiwa kuwa na zaidi. Hii ni kwa rafiki wa pande zote.

Washkaji zangu ndio wamezidi. Hawa jamaa tunaweza plan kutoka, na watalazimisha nimualike huyo bibie, sio tatizo. Shida ni pale usiku ukishakolea, watatafuta mbinu za kuchochea kitu baina yetu. Ukweli ni kuwa binti kaumbika kinoma, perfectly shaped body, thick and curved in all the right places, exactly how I like them; ila tu nimeshindwa kabisa kabisa kuwa hisia za kingono/kimapenzi juu yake, kabisa. She's that babe I truly believe I could share a bed with, and behave with ease, all day every day.

I have tried explaining it to the clique, but they're not having none of it. Every time after a night out and what not, I get "debriefed" and put on the spot with the same ol' bs. To them, a brotha can't be cool with a mama without smashing it. They're bugging that if I don't hit it, the mama might get some funny ideas about me or probably get offended. And I always reply with that "are y'all done or are y'all finished" look.

Fellow brothas, some of you get where I'm coming from, right?
 
Be gentleman, they tend to be smart sometimes, umenifurahisha u always have ur standards n thats what gonna make it count... What if she aint into it... "What if!!?"....hiting her is what suits you then kick the ball but what if she aint into kicking it??.... "What if!!?"
 
What kinda vibes does she exude?

Does she give you any indication that she wants to roll in the hay?

Heck, if I were you I'd give it a try.

I mean, in all her pulchritudinous glory, what's the worst that can happen?

Her saying no?

I'd roll my dice.
 
Nilitaka kusema loooh leo Sergio ameamua kuandika kwakutumia kamusi maana kiswasili paragraph 2....!!! aaah wapi kumbe kashindwa kumalizia, ulimi unateleza kama kunena kwa lugha hahahahahaa huyo kajikuta kabadili gia angani na kumalizia kwa kiinglish....

Hey Sergio I know you are talking to your fella brothaz, I just chip in to pinch you..... (one thing I ask you is to give me another chance to look at you while you are naked with my lens glasses on).....

About big mamaa..... mmmhhhhh if you feel her then have her a whole.....

Kasie.
 
What kinda vibes does she exude?

Does she give you any indication that she wants to roll in the hay?

Heck, if I were you I'd give it a try.

I mean, in all her pulchritudinous glory, what's the worst that can happen?

Her saying no?

I'd roll my dice.

Tbhh, I have never noticed her sending me any signals in any way. Could be because I never wish for that to happen, or whatever. The fantasy of us getting nasty just scares the hell outta me man, so I've locked it waay down and cover it with a million+ layers.
 
Nilitaka kusema loooh leo Sergio ameamua kuandika kwakutumia kamusi maana kiswasili paragraph 2....!!! aaah wapi kumbe kashindwa kumalizia, ulimi unateleza kama kunena kwa lugha hahahahahaa huyo kajikuta kabadili gia angani na kumalizia kwa kiinglish....

Hey Sergio I know you are talking to your fella brothaz, I just chip in to pinch you..... (one thing I ask you is to give me another chance to look at you while you are naked with my lens glasses on).....

About big mamaa..... mmmhhhhh if you feel her then have her a whole.....

Kasie.

Hahaha hujatulia Kasie. Hiyo deal tutaongea vizuri, wala usiwaze.
 
Tbhh, I have never noticed her sending me any signals in any way. Could be because I never wish for that to happen, or whatever. The fantasy of us getting nasty just scares the hell outta me man, so I've locked it waay down and cover it with a million+ layers.

Okay then..let not your heart be troubled!

But never underestimate the ability of a woman to use all her feminine wiles just to get you.

Especially if she is comely [as you have described].
 
Hahaha hujatulia Kasie. Hiyo deal tutaongea vizuri, wala usiwaze.

Daaah Sergio its weird but its true.... Kasie amegundua ukiongea kiswahili ndo unamuongezea hamasa ya kuvaa lens glasses tayari kwa kazi..... halafu anaanza kukuangalia kwa macho manne mmmhh akizidi kukukazia macho sio tuu macho yake yanalegea na kurembua bali anakuona unakuwa mcharo zaidi..... sasa sijui ni kweli au ni effect ya hizo lens glasses hehehehehehe ciao!!

Kasie.
 
Your circle of influence at work doesn't do you any favor.Bro,I see you being caught in the middle between two opposing sides,your instinct and the peer pressure.
 
Okay then..let not your heart be troubled!

But never underestimate the ability of a woman to use all her feminine wiles just to get you.

Especially if she is comely [as you have described].

Yeah man, I've been around long enough to know better than underestimating that ability, but this is a piece I'm for 100 I can resist. I just can't find any ounce of sexual desire towards her, 0.
 
Piga huyo manzi uweke heshima, but kama sio standard yako basi mpotezee tu ili kulinda CV
 
Daaah Sergio its weird but its true.... Kasie amegundua ukiongea kiswahili ndo unamuongezea hamasa ya kuvaa lens glasses tayari kwa kazi..... halafu anaanza kukuangalia kwa macho manne mmmhh akizidi kukukazia macho sio tuu macho yake yanalegea na kurembua bali anakuona unakuwa mcharo zaidi..... sasa sijui ni kweli au ni effect ya hizo lens glasses hehehehehehe ciao!!

Kasie.

Hahaha. Itakuwa lens tu labda, but only you can tell.
 
Back
Top Bottom