Canalsat decoder official for football

Canalsat decoder official for football

CANALSAT DECODER 269,000

monthly subscription 63,000

View attachment 193847

canalsat decoder ni decoder itakayokupa channel zaidi ya 120, kwa ghalama nafuu kabisa ya 63,000 kwa mwezi, ni official kama vilivyo ving'amuzi vingine haisumbui na ina signal ya kutosha kwa kutumia dish la cm 90 (ft 3) tu.
kwa malipo ya 63,000 kwa mwezi utapata package itakayokuonesha channel za mipira yote katika ligi kubwa balani ulaya kama EPL, LA LIGA, SERIA A, BUNDERSLIGA, LEAGUE ONE, UEFA CHAMPION LEAGUE, EURO, FA, CARLINGCUP na michezo mingine kama NBA, FOMULA ONE, WWE pia kuna movie katika lugha ya english katika channel ya canal series.
jipatie decoder hii uburudike bila longolongo na kwa ghalama nafuu kabisa ya malipo ya mwezi.

CALL 0755711989

wapo ktk satelite ipi mkuu naona hawa ni.vunja bei maana dstv wengi tumeshindwa kulipia na decoda zao zipo ndani.madishi yapo nje kwa sifa kuwa fulani ana dstv kumbe si lolote
 
wapo ktk satelite ipi mkuu naona hawa ni.vunja bei maana dstv wengi tumeshindwa kulipia na decoda zao zipo ndani.madishi yapo nje kwa sifa kuwa fulani ana dstv kumbe si lolote

dstv ni exclusive kusini mwa jangwa la sahara ndio maana anaringa kwenye mpira.

chochote unachokiona kinaonyesha epl bila idhin ya dstv ujue si halali
 
wapo ktk satelite ipi mkuu naona hawa ni.vunja bei maana dstv wengi tumeshindwa kulipia na decoda zao zipo ndani.madishi yapo nje kwa sifa kuwa fulani ana dstv kumbe si lolote

satellite ni SES 4, 22.0 W
 
satellite ni SES 4, 22.0 W

ok. je hiyo beam ya ses4 22 inafika tanzania maana juzi kuna mwenzetu kaitafuta hiyo satelite karibia usiku kucha na hakuipata.na jamaa namuaminia kwa uwindaji
 
ok. je hiyo beam ya ses4 22 inafika tanzania maana juzi kuna mwenzetu kaitafuta hiyo satelite karibia usiku kucha na hakuipata.na jamaa namuaminia kwa uwindaji

inafika vizuri kabisa tena ina signal za kutosha mkuu, mwambie jamaa aitafute hawezi kuikosa.
 
Matangazo ni kwa lugha ni kifaransa tu au kiingereza?
 
Kwanza asante mkuu kwa huduma yako lakin nna maswal macahache
hyo 269000 ni inclusive na subscrption fee ya first month au ni kwa receiver peke ake? Vip gharama za ufund maana naona kuna mdau alisema ses 4, 22.0 w kupata ni kazi sana so where is your support on that
kitu kingne ni kwamba una office incase nikihtaj customer suport vikipata matatizo?
 
ok. je hiyo beam ya ses4 22 inafika tanzania maana juzi kuna mwenzetu kaitafuta hiyo satelite karibia usiku kucha na hakuipata.na jamaa namuaminia kwa uwindaji

uyo muindaji wako haja kamilika... ndio maana kaikosa... ili uipate io sat nilazima dish uligeuze juuchini... kwakua elevation yake ni ndogo sana... hivyo dishi ule mkono wa kushikia ku unatakiwa utokee kwa juu na sio kama ulivyo zoea kua unatokea chini kwenda juu... sasa mwabie afanye ivyo nilivyo mwambia kisha ulete majibu hapa.... sawa.
 
Naona wanatumia mediaguard:cool2:

vipi Naweza kutumia Smart card yao kwenye decoder yangu ya dreambox?
Au wamezifanyia marriage?

je mwezi ukiisha ku renew ni wapi?
maana hawa jamaa hawa operate Tanzania

Pili huwa wana SS3 Lakini kuipata mpaka ulipe 92,000/=(kuna mtu wa Burundi anatumia alinambia hivo) na 48,000/= unapata Canal sport,cinema etc

Je hiyo yako 63,000/= tunaona channel zipi?
 
Kwanza asante mkuu kwa huduma yako lakin nna maswal macahache
hyo 269000 ni inclusive na subscrption fee ya first month au ni kwa receiver peke ake? Vip gharama za ufund maana naona kuna mdau alisema ses 4, 22.0 w kupata ni kazi sana so where is your support on that
kitu kingne ni kwamba una office incase nikihtaj customer suport vikipata matatizo?

custormer support kuna namba zao ambazo ntakupatia na utawasiliana nao, ila pia wawezi nicheki mimi kwa msaada zaidi, 269,000 ni decoder pekee mzee 63,000 kwa malipo ya mwezi
 
Naona wanatumia mediaguard:cool2:

vipi Naweza kutumia Smart card yao kwenye decoder yangu ya dreambox?
Au wamezifanyia marriage?

je mwezi ukiisha ku renew ni wapi?
maana hawa jamaa hawa operate Tanzania

Pili huwa wana SS3 Lakini kuipata mpaka ulipe 92,000/=(kuna mtu wa Burundi anatumia alinambia hivo) na 48,000/= unapata Canal sport,cinema etc

Je hiyo yako 63,000/= tunaona channel zipi?

ziko marriage mkuu huwezi hamisha card ikafanya kazi popote.
 
wapo ktk satelite ipi mkuu naona hawa ni.vunja bei maana dstv wengi tumeshindwa kulipia na decoda zao zipo ndani.madishi yapo nje kwa sifa kuwa fulani ana dstv kumbe si lolote

Nataka nikupe angalizo hawa canalsat wanachanel Moja tu inayoonyesha mpira, hivyo siyo rahisi kuona mechi zote za EPL endapo zitachezwa kwa wakati mmoja
 
Nataka nikupe angalizo hawa canalsat wanachanel Moja tu inayoonyesha mpira, hivyo siyo rahisi kuona mechi zote za EPL endapo zitachezwa kwa wakati mmoja

nazani huelewi hizi channel za canal zilivyo, EPL inavyochezwa canal huonyesha game zaidi ya 3 katika channel cha canal+, canal foot, info sport na kuna wakati hata canal series huacha kuonesha movie na kuonesha mpila ikiwa game ziko nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom