Jamani naomba kumjua huyu canal
historia yake amezaliwa wapi ametumikia taifa muda gani. ni makini sana huyu jamaa kama sikosei ni kamanda wa polisi mkoa wa tabora.
Karibuni wakuu tumchambuwe.
Jamani naomba kumjua huyu canal
historia yake amezaliwa wapi ametumikia taifa muda gani. ni makini sana huyu jamaa kama sikosei ni kamanda wa polisi mkoa wa tabora.
Karibuni wakuu tumchambuwe.
mleta mada Kakojoe ulale. Acha kujadili watu, nadhani upeo wako hauna tofauti na mtoto wa darasa la 6. Mtafute IGP ili akupe taarifa za huyo uliyesema ni Polisi wa Tabora.
Jamani naomba kumjua huyu canal
historia yake amezaliwa wapi ametumikia taifa muda gani. ni makini sana huyu jamaa kama sikosei ni kamanda wa polisi mkoa wa tabora.
Karibuni wakuu tumchambuwe.
Duu ipo kazi!Jamani naomba kumjua huyu canal
historia yake amezaliwa wapi ametumikia taifa muda gani. ni makini sana huyu jamaa kama sikosei ni mkuu wa mkoa wa kagera.
Karibuni wakuu tumjue.
Kanali mstaafu Fabian Massawe amezaliwa mkoni Kilimanjaro, kijiji cha Mkomongo, Kibosho. Ametuikia jeshi la wananchi tangu miaka ya 1970 katika nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na mkuu kituo cha elimu ya sekondari ya jioni Mgulani Dar es Salaam (sasa Jitegemee Sec). Baadae alikuwa mkuu wa kwanza wa shule ya Jitegemee kwa miaka zaidi ya 15 kabla ya kuteuliwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni, baadae Muleba na Karagwe. Kwa sasa Kanali Massawe ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
nimejichanganya wapi?