Wadau Decorder yangu ya CANAL imekata channel zote za mpira 12, 13 na 14 hata 112, 113. Wakala aliyeniunganishia ni wa Burundi ameshindwa kunisaidia anadai aki"refresh" mashine yake inadaiwa ilipe 21,000/!! Hapa nifanyeje ili nione fainali maana nililipa tarehe 3/5 na mwezi haujaisha?