Kwanza unataka Visa ya Visiting au tourism , maana kuna visa za aina nyingi . ukinijibu unachotaka nitaendelea na unachotakaUmofia kwenu.
Wazoefu tupeane uzoefu.
Nataka nitimbe na wife Canada na wife akajifungulie mtoto huko tupate passport ya mtoto Canada.
Wanaoishi Canada au wenye uzoefu na njia hii nipeni mawazo au uzoefu wenu.
Changamoto ziko wapi before and after.
Nawasilisha
Mkuu sijajua ipi ni ipi lakini yeyote tu. Sema kwa haraka haraka tourist visa maana nahisi visiting si unatakiwa uwe na mtu wa kumtembelea au?? Na mimi sina mtu.Kwanza unataka Visa ya Visiting au tourism , maana kuna visa za aina nyingi . ukinijibu unachotaka nitaendelea na unachotaka
Wabongo kila siku mambo yasipoenda vizuri tunamalozia na sentensi "wapi tunafeli"Na tumbo lake apande ndege ya nani,
Labda aandikiwe ugonjwa
Wabongo kila siku mambo yasipoenda vizuri tunamalozia na sentensi "wapi tunafeli"
Wewe ni wa ajab sana. Hatujui mambo lkn conclusion tunazotoa utafikiri tunajua. We jamaa hapo inawezekana hata ndege hujapanda tangu uzaliwe lakini una conclude kabisa. Pathetic. Hapa sasa ndio wabongo tunapofeli. Tunajua kila jambo.
Nifate PM nikuelezee kuhusu mimba ikifikia miezi mingapi huwezi kabisa Ku fly. By the way hata hiyo limit iloyowekwa waweza kui wave kwa kufuata masharti flani.
Hivyo mkuu next time comment vitu ujuavyo
If things aren't working were you are move, you are not a tree!Wewe sio mzalendo
Njia rahisi ni kujiwasha! Jifanye choko utawin! Unaanzisha case ukiimaliza unapewa uraiaUmofia kwenu.
Wazoefu tupeane uzoefu.
Nataka nitimbe na wife Canada na wife akajifungulie mtoto huko tupate passport ya mtoto Canada.
Wanaoishi Canada au wenye uzoefu na njia hii nipeni mawazo au uzoefu wenu.
Changamoto ziko wapi before and after.
Nawasilisha
Njia rahisi ni kujiwasha! Jifanye choko utawin!
OMG!! Yaani kutaka passpoti tu ?? Kwani hii ya TZ umenyimwa? Wee ngoja Madam ajifungue kwa Salaama baadae msajili cheti na ukajiandikishe Rita;Nida na uhamiaji ....ukishapata vitambulisho husika... Ntakupa Njia ya kuwasili huko Majuu!!Umofia kwenu.
Wazoefu tupeane uzoefu.
Nataka nitimbe na wife Canada na wife akajifungulie mtoto huko tupate passport ya mtoto Canada.
Wanaoishi Canada au wenye uzoefu na njia hii nipeni mawazo au uzoefu wenu.
Changamoto ziko wapi before and after.
Nawasilisha
Wee si mwanaCCM unampenda Jiwe na nchi yako?Umofia kwenu.
Wazoefu tupeane uzoefu.
Nataka nitimbe na wife Canada na wife akajifungulie mtoto huko tupate passport ya mtoto Canada.
Wanaoishi Canada au wenye uzoefu na njia hii nipeni mawazo au uzoefu wenu.
Changamoto ziko wapi before and after.
Nawasilisha
Sawa mkOMG!! Yaani kutaka passpoti tu ?? Kwani hii ya TZ umenyimwa? Wee ngoja Madam ajifungue kwa Salaama baadae msajili cheti na ukajiandikishe Rita;Nida na uhamiaji ....ukishapata vitambulisho husika... Ntakupa Njia ya kuwasili huko Majuu!!
Nafasi yako bado ipo ...usiwe na haraka!!
ππππ mkuu. Tafadhali nipe ABC sasa hivi nijipange. Inbox au mwaga hapa km hutsjali. Nijue tu in advanceOMG!! Yaani kutaka passpoti tu ?? Kwani hii ya TZ umenyimwa? Wee ngoja Madam ajifungue kwa Salaama baadae msajili cheti na ukajiandikishe Rita;Nida na uhamiaji ....ukishapata vitambulisho husika... Ntakupa Njia ya kuwasili huko Majuu!!
Nafasi yako bado ipo ...usiwe na haraka!!