Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Wewe hornet na Zoe mnahangaika kuandika kizungu weeHataki taabu, kwanza maisha sio magumu hivyo msimchoshe![]()
Naye alijiongeza akawa anachanganya na kiswahiliAu anaanza , "Mimi nilishasema....(kisha anapesti zake)"














hata ya uber tu hana...
wale mapedeshee wetu huwezi wakuta humu aisee








KhaaaKumbe alikuja hadi kwako?
Anaanza "nipo mbali lakini tunaweza kuwa marafiki" hapo hajaulizwa yupo wapi![]()























Yaani mwanaume mzembe huyu si mchezo, huku kajilaza sebuleni kwa shemeji akaona maisha kayapatiaaa. Haki nimecheka hadi usingizi umeisha.











Kwani nikitafuta ni vibaya?Na kwanini utafute hela mtoto wa kike ? Wakati sisi watafutaji tupo ?
Anataka kunitapisha beer zangu kisa kizungu cha kugoogle waiii
mi huwa nawaambia wanaume wasio na hela wana maneno Mengi sana












Aiseeeaibuuuuu
Cc @caniberra alimuambia aache jamani kuongea kidhungu













Ah aiseeeMimi si unajua ni mama wa kusawazisha. Nilikuwa namvutia pumzi tuu![]()




























Yesu wangu MimiHayo masaa hapo Marangu yameanza lini? Au hivyo vingereza vimekufanya ujione uko Ulaya?












Usinisahau shogana mimi jamani
Poa,za asubuhi?Mambo
Aaah mpareee kama nakuona!!Kutumia hela zetu aliosema tunapenda nani?We unafikili huu uzi ungeanzishwa hapa kama kuna swala la ufahari???



Hatuko after money, ni kaujinga tu mmejijaza ili kuficha uchoyo wenu. Tuko after love na tunawapenda kweli. Acheni tu uchoyo ili mahaba yadumu. Acha ubishi basi we mpare jamani, hebu toa pesa.Usiseme tusisingizie wakati ndio uhalisia. Nyie mko after money ndio maana hata uaminifu ni 0!
Hujui hata athari za hio tabia ya tamaa za pesa?
Ooooho this is a trap,niliwahi kuwa na mdada mpaka mtonyo ananipa ila nilichokuja kugundua anatoa huko analeta kwangu...it was a shame,bora mwanamke anayekuomba helaNjoo kwangu mrembo, mungu kweli anajibu kwa wakati jamani 🤣🤣🤣