Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Utakapojisikia
Safi kabisa, kulingana na wachingiaji jinsia yako, inaonekana ya kuwa jukumu la kutoa hela ni la wanaume kwenda kwenu nyinyi wanawake/wasichana ? Kwanini katika kutoa hela jukumu lina kuwa letu sisi ila katika mengine huwa mnataka tufanane ? Hili ni kwa mujibu wa ada na desturi au mmekuta hali iko hivyo ?
 
Safi kabisa, kulingana na wachingiaji jinsia yako, inaonekana ya kuwa jukumu la kutoa hela ni la wanaume kwenda kwenu nyinyi wanawake/wasichana ? Kwanini katika kutoa hela jukumu lina kuwa letu sisi ila katika mengine huwa mnataka tufanane ? Hili ni kwa mujibu wa ada na desturi au mmekuta hali iko hivyo ?
Yepi ambayo tunataka tufanane?
 
Back
Top Bottom