Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,330
- 176,111
Anataka kunitapisha beer zangu kisa kizungu cha kugoogle waiii
mi huwa nawaambia wanaume wasio na hela wana maneno Mengi sana



wana kelele sana.Anataka kunitapisha beer zangu kisa kizungu cha kugoogle waiii
mi huwa nawaambia wanaume wasio na hela wana maneno Mengi sana



wana kelele sana.Hawa ndo Mario wa Jf
Huyu muingereza wa Marangu bwana!! Jf ina vituko.
YeleiwiiiiHadi kitu kidogo kama hiki unakopy?
Haubadilishi hata maandishi makubwa?










Kumbe kuna wanaotekeka nitafanya mpango nami niwatekeHawa ndo Mario wa Jf
kujifanya ana mahaba awateke wale wa mapenzi ya kikorea
Una umri gan saint annaKila mtu ana style Yake ya maisha..
Kila watu Wana namna wanakubaliana kuendesha mahusiano yao.
Kwahiyo inategemeana.
Nyie wanawake ni kiboki mleta mada bora afungue ID nyingine tuYeleiwiiii
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari
Nimemkumbuka yule mswisi
Bladibasiketi hawaHawa ndo Mario wa Jf
kujifanya ana mahaba awateke wale wa mapenzi ya kikorea



Hivi ni kwa nini wanaume wanaongoza kwa upuuzi humu Jf?Yeleiwiiii
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari
Nimemkumbuka yule mswisi
unatengeneza njia ukifika pm ni kuteleza tuKumbe kuna wanaotekeka nitafanya mpango nami niwateke
Ukiona mtu anasumbua unatafuta kitu cha kumfunga mdomo.Bora mie nishawachoka
Ulimwambia aachane na vingereza hakukuelewa, ona sasa anaumbukaNyie wanawake ni kiboki mleta mada bora afungue ID nyingine tu



Huwa nikiwasoma humu basi nawatizamaa wanaume ninaowaona nawaza hivi ndio hawa wa kule jf au ni specie tofautiHivi ni kwa nini wanaume wanaongoza kwa upuuzi humu Jf?
ndiyo reflection ya wanaume katika jamii zetu?


nabaki tu nakihurumia kizazi chetu.Mkuu mwambie huyo mtoto usivunge tu kaka, kuwa mkweli sema nae acha uoga mkuu 😛 😛 😛 😛
😁😁 nahisi Kuna mabahiria washaniwahi ila mtoto ni bonge la wife material sema basi tuu.Mkuu mwambie huyo mtoto usivunge tu kaka, kuwa mkweli sema nae acha uoga mkuu 😛 😛 😛 😛
Asante kwa muongozounatengeneza njia ukifika pm ni kuteleza tu
Ukiona mtu anasumbua unatafuta kitu cha kumfunga mdomo.





Mungu aniepushie mvulana wangu.Huwa nikiwasoma humu basi nawatizamaa wanaume ninaowaona nawaza hivi ndio hawa wa kule jf au ni specie tofautinabaki tu nakihurumia kizazi chetu.
Alitaka awatekeUlimwambia aachane na vingereza hakukuelewa, ona sasa anaumbuka![]()
Amen kwakweli.Mungu aniepushie mvulana wangu.
Kafuta lakini kachelewa. Madam mnoko nishapita nazo.Post zake za juu kafuta.
Usd 500,000![]()