Can I change Him?

Malizia sentensi hii....Naona kama haijakamilika vile.Niwe makini na watu gani? ninaoendana nao kitabia?( wamaanisha kuwa wanaweza kuwa mbwamwitu wenye ngozi ya kondoo?)

Wengi watakufuata i love you so much than Jesus
Ukajua huyu ndiye Mungu kanitunuku.
Tu tubu na kuiamini Injiri.
 
Usidanganyike dada, hawezi kubadilika. Kama unamkubali, ingia ktk ulingo wa ndoa ukijua hakuna kubadilika! Sana sana zaweza kuzuka mpyaaa ambazo hukuwahi kuziona ktk uchumba.
 
You can

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna jambo lisilowezekana dada muhimu mshirikishe Yesu

Sent from my KIW-L24 using JamiiForums mobile app
 
Umenena.
 
That is theory ..
Base on reality not quatations
AMEN,Hicho kwenye red ndicho kinatia nguvu .Lakni yataka moyo.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ninachoamini ni kuwa huwezi badili tabia ya mtu mzima. Wahenga walisema mkunje samaki angali mbichi
 
Ushaur mzur nna jamaa yang anatabia nying czpend anasema eti anioe then nimbadlishe taratbu kwenye ndoa kitu ambacho naona hakiwezekan
 
Nikuulize je anakupenda kwa dhati? Kama hujui km unapendwa au hupendwi jibu HUWEZI...ila kama kwenye akili zako unaamini anakupenda kwa dhati basi unaweza kumbadilisha

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…