Can God create something more powerfull than him?

Can God create something more powerfull than him?

Sioni hivyo,
Kwasababu watu wa dini husema Mungu ni muweza yote, hana mipaka.

Chipsi zina mipaka.
Mungu mweza yote hana mipaka.

Sasa huoni kama unachanganya tafsiri kati ya vitu vyenye mipaka na vitu visivyo na mipaka?
Mipaka ya kwenye chips inatoka wapi au ni ipi? Kwa sababu huwa tunasema kwamba "weka kila kitu".
Sasa kwanini hiyo kila kitu hatufikirii hata michanga?
 
Huwezi ukawa mzima. Mtu akikwambia hajala inatakiwa athibitishe?????
Mpaka najiuliza kwanini hujibu swali langu ?

Suala la chakula na suala la uwepo wa Mungu ni vitu viwili kando kabisa.
Kukosekana kwa ushahidi wa chakula ni kielelezo wazi kua chakula hakikuwepo.
Nani amekwambia kwamba hakuna ushahidi juu ya uwepo wa Mungu ? Lakini kusokana kwa ushahidi ni kuonyesha ushahidi haupo ? Hili linawezekana vipi ? Je kama wahusika hawajui ushahidi ni nini, unawaweka kwenye kundi gani ? Au kama hawajauona huo ushahidi ?
Hata hivo Wewe na wazungu wenu mlotuletea huo upuuzi wa vitabu vya ajabu ndo mtuthibitishie. Huwezi ukaniletea kitu kipya kwangu alafu ukataka nikufundishe matumizi yake.. Ni ukosefu wa akili.
Hapa unaonyesha ya kuwa hii mada imekuzidi uwezo, unaletwa hisia na mihemko sehemu ambayo inahitaji hoja na ubainifu.

Anae kanusha ndio anatakiwa alete ushahidi sababu yeye tunamdhania ya kuwa ni mjuzi zaidi juu ya jambo husika.
 
Dahhh... Ok tufanye ninauwezo mdogo wa kufikiri, lakin kama umeweza kutuma hyo coment yako bila kujali ulivoborongo point namba 3,,, unatatizo kubwa kuliko mimi
Sio tufanye Bali wewe una uwezo mdogo sana wa kufikiri. Hili huwezi kulipinga mpaka unalifa.
Hivi unamuongelea mungu aloletwa na watu waliokufanya mtumwa na hawakupendi siku zote!!! Vile mtu mweupe asivopenda kukaa karibu na mtu mweusi bila maslai makubwa, asinge kuletea habari za uzima wa milele mkaishi wote peponi.. Amka kitandani usingizini, umeanza kujamba jamba, soon utajinyea.

Hii Sasa ni mihemko, leta hoja na uthibitishe ya kuwa Mungu hayupo.

Shida yenu huwa mnakurupuka sana.
 
Mpaka najiuliza kwanini hujibu swali langu ?

Suala la chakula na suala la uwepo wa Mungu ni vitu viwili kando kabisa.

Nani amekwambia kwamba hakuna ushahidi juu ya uwepo wa Mungu ? Lakini kusokana kwa ushahidi ni kuonyesha ushahidi haupo ? Hili linawezekana vipi ? Je kama wahusika hawajui ushahidi ni nini, unawaweka kwenye kundi gani ? Au kama hawajauona huo ushahidi ?

Hapa unaonyesha ya kuwa hii mada imekuzidi uwezo, unaletwa hisia na mihemko sehemu ambayo inahitaji hoja na ubainifu.

Anae kanusha ndio anatakiwa alete ushahidi sababu yeye tunamdhania ya kuwa ni mjuzi zaidi juu ya jambo husika.
Huko ni kupiga kalele na kujaza uzi bila sababu, unataka kututambulisha baba yako alaf unatuuliza yupo wapi.? mlete baba yako hapa, mtambulishe tumalize mzozo.. unazunguuuuuuuuuuuka.
 
The word POWERFUL itself is very subjective.
It's meanings depends on the context of the subject.
It is possible to create something powerful than the creator depending on the type of power.
A human can create a powerful machine such as bulldozer in the context of land tilling or excavation. Can create a heavy hauling truck which is more powerful than a human.
A human can create a powerful computing machine which is more powerful than his computing ability.
It looks like Lucifer has more convincing power than God, because he has managed to lure humans to disobey their creator (God). This is for believers of Judaism, Christianity and Islamic (Muslim).
The question is paradoxical indeed.
Unless we solve all points of paradoxes, we can not answer this question correctly.
First point of paradox is God's existence, and the second is his omnipotence.
Let's deal with all sorts of paradoxes first.
Forgive my poor English.
Saguda47 registered JF
 
The word POWERFUL itself is very subjective.
It's meanings depends on the context of the subject.
It is possible to create something powerful than the creator depending on the type of power.
A human can create a powerful machine such as bulldozer in the context of land tilling or excavation. Can create a heavy hauling truck which is more powerful than a human.
A human can create a powerful computing machine which is more powerful than his computing ability.
It looks like Lucifer has more convincing power than God, because he has managed to lure humans to disobey their creator (God). This is for believers of Judaism, Christianity and Islamic (Muslim).
The question is paradoxical indeed.
Unless we solve all points of paradoxes, we can not answer this question correctly.
First point of paradox is God's existence, and the second is his omnipotence.
Let's deal with all sorts of paradoxes first.
Forgive my poor English.
Saguda47 registered JF
Kiranga say something on this.
 
Mipaka ya kwenye chips inatoka wapi au ni ipi? Kwa sababu huwa tunasema kwamba "weka kila kitu".
Sasa kwanini hiyo kila kitu hatufikirii hata michanga?
Chipsi zina mipaka kwa sababu ni maada.
Maada yoyote lazima iwe na mipaka yake, Mfano: ukimwagia mikojo kwenye chips, hazifai tena kuliwa, hiyo ni taka isiyofaa ndani ya mwili na ikiliwa inaweza kuleta madhara.
Mipaka lazima izingatiwe kwenye ulaji.
Je, mchanga?

Hata ukienda kwa jamaa yako akakuuliza unakula nini, ukajibu "Anything", akakuwekea mavi lazima uchukie, cause binadamu tunafungwa na mipaka ya kanuni za maadili pia, hivyo kitendo cha kuambiwa kula mavi sababu umeomba chochote si cha kiungwana hata kidogo.

Tatizo ni pale ukilinganisha vitu vyenye mipaka na mhusika anayedaiwa kuviunda.
Mungu anayedaiwa hana mipaka siyo maada, hapimiki, hajaribiwi kisayansi, wala hana data yeyote.

Kama kuna data yeyote kumhusu, ilete ili tupime mipaka yake.
Lasihivyo dai la kusema Mungu hana mipaka linabakia kuwa imani tu, si logic.
 
Chipsi zina mipaka kwa sababu ni maada.
Maada yoyote lazima iwe na mipaka yake, Mfano: ukimwagia mikojo kwenye chips, hazifai tena kuliwa, hiyo ni taka isiyofaa ndani ya mwili na ikiliwa inaweza kuleta madhara.
Mipaka lazima izingatiwe kwenye ulaji.
Je, mchanga?

Hata ukienda kwa jamaa yako akakuuliza unakula nini, ukajibu "Anything", akakuwekea mavi lazima uchukie, cause binadamu tunafungwa na mipaka ya kanuni za maadili pia, hivyo kitendo cha kuambiwa kula mavi sababu umeomba chochote si cha kiungwana hata kidogo.

Tatizo ni pale ukilinganisha vitu vyenye mipaka na mhusika anayedaiwa kuviunda.
Mungu anayedaiwa hana mipaka siyo maada, hapimiki, hajaribiwi kisayansi, wala hana data yeyote.

Kama kuna data yeyote kumhusu, ilete ili tupime mipaka yake.
Lasihivyo dai la kusema Mungu hana mipaka linabakia kuwa imani tu, si logic.
Ni wewe ndio umeshindwa kutumia logic kwa sababu huyo Mungu sifa zake zimeelezwa, sasa huko kukosa mipaka hakuwezi kuwa na maana ya kuji contradict yeye mwenyewe.
 
Huko ni kupiga kalele na kujaza uzi bila sababu, unataka kututambulisha baba yako alaf unatuuliza yupo wapi.? mlete baba yako hapa, mtambulishe tumalize mzozo.. unazunguuuuuuuuuuuka.
Kwanini hujibu swali nililo kuuliza ?
 
Ni wewe ndio umeshindwa kutumia logic kwa sababu huyo Mungu sifa zake zimeelezwa, sasa huko kukosa mipaka hakuwezi kuwa na maana ya kuji contradict yeye mwenyewe.

Tunajadili kuhusu mipaka ya huyo Mungu, hatujafika huko kwenye contradictions.

Rudi kwenye mada husika lasi hivyo utaendelea na mtindo wa kubadilisha topics untill infinity.
 
Can a president create a powerful institution than him??
 
Tunajadili kuhusu mipaka ya huyo Mungu, hatujafika huko kwenye contradictions.

Rudi kwenye mada husika lasi hivyo utaendelea na mtindo wa kubadilisha topics untill infinity.
Sijabadilisha topic ndio maana mwanzo nikasema utumie logic kwenye kujadili hilo suala la Mungu kutokuwa na mipaka maana bila ya hivyo tutaenda kwenye contradiction.
 
Sijabadilisha topic ndio maana mwanzo nikasema utumie logic kwenye kujadili hilo suala la Mungu kutokuwa na mipaka maana bila ya hivyo tutaenda kwenye contradiction.

Mimi nikiweka Logic huyo Mungu anakuwa hayupo na huwezi kumtetea.

Halafu bado hujajibu hoja.
Bado tu uko nje ya mada.
 
Ukishasema sababu bhasi lazima isababishwe.
seriously I have no energy to waste here.

you sound like this

"Ukishasema moja basi lazima mbili"

"Ukishasema nyeupe basi lazima nyeusi"

"Ukishasema gari basi lazima ndege"

You can just spit whatever comes to your mind
 
seriously I have no energy to waste here.

you sound like this

"Ukishasema moja basi lazima mbili"

"Ukishasema nyeupe basi lazima nyeusi"

"Ukishasema gari basi lazima ndege"

You can just spit whatever comes to your mind

Hakuna hoja hapo zaidi ya False Equivalencies.

Kama huelewi utofauti kati ya logic na hiyo mifano yako inayojichanganya yenyewe, hilo ni tatizo lako, siyo langu.
 
Hakuna hoja hapo zaidi ya False Equivalencies.

Kama huelewi utofauti kati ya logic na hiyo mifano yako inayojichanganya yenyewe, hilo ni tatizo lako, siyo langu.
If you were truly well versed in logic, you wouldn't have made such a thoughtless remark: sababu lazima isababishwe!

Hivi did you even take a second to think about that statement, au mradi ujibu tu! ! ! ! Nilisoma nikachoka mimi shemeji ya Mwandambo.

Nimekupa hiyo mifano ku reflect ulichofanya, kitu ambacho utaendelea kufanya, na ambacho huwa naona kinafanyika kwenye mijadala ya aina hii if I go on entertaining you: inconsistent use of logical reasoning.

Logic is just a convinience to you:

You think you can just say things, semantically empty things, meaningless words, nonensense masquerading as depth, conceptually confused statements,

and then literally accuse me of logical fallacies after I do the same to demonstrate your fallacy.

Fallacy. Falasi. Farasi.

Usikia sebene la mkana Mungu ndo hilo, na mimi sichezi.

Kwa kifupi "sababu lazima isababishwe" is just gibberish.




Narudia (last repy):

1) The universe (space, time, matter) had a beginning. There was a point in time the universe wasn't there. Scientists have proven this.

Notice that time itself had a beginning. (Nimekuuliza can you imagine being outside of time? ? ? Huo ulimwengu ulio nje ya muda ukoje? ? ?)

So because the universe had a beggining, the universe has a cause (kisababishi).



2) OUR LORD GOD is the uncaused cause. Kisababishi kisicho na kisababishi.

This doesnt mean he caused himself, it means he doesn't need a cause to exist.



3)  HE is the sustaining cause. Kisababishi kinachodumisha. He is the reason the Universe is existing right now. He is the one holding everything together.



4)  HE  is a Necessary being. Anayehitajika kuwepo. He cannot not exist because he is necessary for existence as we know it.

(If you suggest that there could be an infinite chain of universes coming into existence producing the next universe: first there's no evidence for this, second this idea doesnt answer why that chain exists in the first place. The universes will always be depending on something else. Why are the universes there in the first place?)

The universe simply exists because there is a being with characteristics that point to him as the cause of the Universe!


5) The universe ingeweza isi exist because:

i) it depends on prior conditions to exist, in which case it could've failed to exist if the conditions weren't met.

ii) its composed of parts (time, space, matter) which change, because of this it requires an explanation. Eg. A seed turns to a tree, how? Water at some point freezes, when? We are only moving forward in time we cannot go back, why?

So the universe is not necessary, because it could not have existed. But it does, and its changing, So it requires an explanation.


6) GOD is the foundation of the universe (existence) as we know it. He is necessary.

Ni kama umeme na electronics. Bila umeme electronics haziwaki.

MUNGU ni umeme wa ulimwengu. Bila MUNGU ulimwengu hauwaki / hauanzi.


7) GOD is:
i) Necessary
for existence as we know it, and he himself doesn't depend on anything else,

ii) Eternal, he is outside of time, he has no beggining nor end, he doesnt change / decay with time,

iii) Immaterial, he is outside of space and matter,

iv) Indivisible, he is One, he is not made up of different parts which are dependent, eg. you need space to move in time, you need the sun for plants to grow.

(the persons of the Trinity are not dependent, it is One being manifesting in three persons).

v) Unchangeable, he is perfect, he is complete. There is nothing he can become which he is not already. He has no unrealised potential.

Ndomana ni kosa kuuliza kama anaweza kutengeneza kitu kizito kuliko anachoweza kubeba. Uzito ni sifa ya matter he's outside of matter.

Kuuliza kama anaweza kubeba kitu fulani ni ku treat kama yuko ulimwenguni humu wakati hayupo humu.

Ni kama umuulize programmer wa game: "unaweza kutengeneza jiwe kwenye game ya PC zito sana ambalo wewe programmer huwezi kubeba huku uraiani?"

Sasa hayo ya kwenye game, mambo ya kubeba na uzito yako kwenye game. Hata atengeneze jiwe la tani 10000 kwenye game, Programmer hayupo humo.

Hatuwezi kujua nguvu za kubeba za Programmer kwa kutumia hiyo game yake.

Unalinganisha material world na Immaterial world.

Unalinganisha a world confined in time na world outside of time.

8) Swali lako: If GOD doesn't require proof of existence... linanichosha mimi kinyozi wa Mwandambo. Who told you God doesn't require proof of existence?

Nothing screams THE LORD GOD than the Universe itself.

If you want to see GOD uache dharau. Dharau zinawafunga macho.

Kuona mambo ni ya kawaiiiiida.

Show some appreciation.

Acknowledge the Mind, the Intelligence, the Power, the Might the Love behind creation.


Programmer akizindua program yake leo ma AI manini anaonekana na akili sana, atapewa masifa yoote na ma noble prize, lakini the most complex program of all time yani hadi leo tumeielewa by only 2%, the DNA, hiyo ya kawaiiiiida ilitokea tu, hakuna akili yoyote iliyotumika ku program DNA.

Daktari akifanya operation ngumu, akimuwekea mtu moyo wa mtu mwingine anasifiwa, aliyeumba huo moyo anaonwa wa kawaiiiida (hayupo).

Mchoraji akichora mandhari kwa uhalisia anasifiwa, aliyeumba hiyo mandhari anaonwa wa kawaiiiida (hayupo).

Mpishi akipika chakula kizuri anasifiwa, aliyeumba hayo mazao wa kawaiiiida (hayupo).

Wana anga wakienda huko juu wanaonekana na akili sana, aliyeumba hizo sayari na nyota wanazozifuata huko anaonekana wa kawaiiiiida (hayupo).

Wanasayansi wakigundua ma formula jinsi ulimwengu ulivyosetiwa kwa ufasaha kina Newton, Einstein wanasifiwa wana akili sana, aliye seti hizo formula wa kawaiiiiida (hayupo).


ACHENI DHARAU MUMUONE MUNGU.

Na viburi muache mnataka sana kuwa MUNGU na hamuwi! ! !


9) GOD himself took a form of man and came down on earth as a humble carpenter.

Si wakamuua! ! ! ! !


i) He turned water to wine
ii) He fed thousands from a single plate
iii) He calmed storms
iv) He walked on water
v) He healed the sick by a single touch without charging a single fee
vi) Viwete walitembea
vii) Vipofu waliona
viii) Wafu walifufuliwa
ix) He himself cheated death like it was a minor inconvenience: they killed him and after 3 days he was back to life
x) He fulfilled over 300 prophecies that were written hundreds of years before he was came to earth

He brought HOPE to us who believe.

Hakuwa na cheo chochote serikalini.
Hakuwa na Jeshi.
Hakuwa na Afisa masoko.

Hakuwa na machawa wa kumpamba kila mahali, waliopaswa kuwa machawa wake ilifika point wanamkimbia wanamkana wamsema hawamjui.

Hata pa kulala hakuwa napo.
Hakuwa na hela tuseme anagawa hela.

Alikuwa na kandambili tu, lakini mamlaka yake hayakutia shaka.

Maelfu walimfuata. Sio tu kumfuata mfanya miujiza, walimfuata Mfalme na Muokozi. MUNGU Mkuu. Walimsujudia.

Hata waliomkana kwa uoga, baadae walikubali kuuawa ili kutoa ushuhuda kwa ajili ya huyu Mwana wa Binadamu.


Almost 2000 years later, Maelfu tunamfuata YESU. Tunamtumikia. Tumfuate nani mwingine? ? ?

Hakunaaa.

10) Alikuja kama fundi seremala mmemuua.

Anarudi kama MFALME sasa kuchukua milki yake, maana muda mfupi aliotoa wa laana juu ya dunia umekwisha, na kila jicho litamuona,

hata wale waliomuua watamuona, hata wanaomdharau wakati huu watamuona, na goti watapiga.

Sio atawalazimisha wapige! ! ! Ule utukufu atakaokuja nao watajikuta tu wamempigia magoti! !

“Look, I am coming soon, bringing my reward with me to repay all people according to their deeds.

I am the Alpha and the Omega, the First and the Last, the Beginning and the End.”

Blessed are those who wash their robes. They will be permitted to enter through the gates of the city and eat the fruit from the tree of life.

Outside the city are the dogs—the sorcerers, the sexually immoral, the murderers, the idol worshipers, and all who love to live a lie."

Revelation.22.12-15.NLT
 
Back
Top Bottom