hakuna kiumbe chochote duniani na hata mbinguni chenye nguvu kushinda MUNGU muumbaji wa vyote.Mfalmw wa wafalme.
Hii dhana ya kusema shetani ana nguvu kuliko Mungu si sahihi.ila ni kinyume chake.
Hata binadamu tu aliyeumbwa kwa udongo ana nguvu kushinda shetani na wafuasi wake majini,wachawi waganga wa kienyeji,mizimu,mapepo.
SHEATANI ana nguvu juu ya binadamu wasio na Yesu ambao hawajajua nguvu zao,mamlaka yao walizopewa na Mungu ,amri na mamlaka na uwezo walizonazo juu ya shetani.
Watoto wa Mungu walokole wanaomuabudu Mungu katika Roho na kweli na kumtii Mungu ,watakatifu waliojitenga mbali na utumwa wa dhambi,wanaoishi maisha ya kumoendeza Mungu waliomkiri na kumuamini Yesu wanaosali na kuomba na kufunga ,na kutoa sadaka na kutenda maoenzi ya Mungu waliopata neema ya Yesu...wakiomba kwa kutumia jina la Yesu ..Shetani anaungua moto ...wanapomtii Mungu na kumpinga shetani nahe shetani anawakimbia.
shetani ana nguvu juu ya watu wasio ja Yesu ,wasio ja maarifa ya na elimu ya Mungu wa kweli huyu YESU,wasiojua kuwa binadamu wote wamepewa nguvu na mamlaka juu ya nguvu zote za giza,kumkanyaga wamekombolewa na kununuliwa kwa gharama ya damu ya YESU..wao tu binadamu yeyote akimuomba Yesu kwa kumaanisha kuacha dhambi na kumtii Yesu ,na kumuhitaji YESU awasaidie wanakuwa na NGUVU kumshinda shetani na kuzimu na majini na wachawi na waganga wa kienyeji.
sema tu binadamu wanakosa maarifa ya elimu ya Mungu ndio wanao fikiri kuwa shetani ana nguvu kuliko wao na ni kweli wanavyofikiri kwa sababu aonavyo mtu moyoni mwake ndivyo alivyo,ukifikiri na kuamini kuwa shetani ana nguvu kuliko wewe ndivyo itakavtokuwa kwako.
KWANGU MIMI SHETANI hana nguvu ,nina mjua aliye ndani yangu ninaye muamini ambaye ndiye nguvu zangu..ni mkubwa kuliko vyote,ni mwenye nguvu ,uwezo na mamlaka,mfalme wa wafalme ,simba wa Yuda ,moto ulao.
sheatani mwenyewe anakimbia na kuungua na kupiga mayowe na kulia kwa kupiga ukunga ,kuzimu inapasuka na kutetemeka radi na moto zinawaunguza madhabahu za kuzimu na vilinge vinapasuka na matetemeko makali..pale jina la YESU TU LINAPOTAKWA TAJWA...YESU NI KIBOKO YAO..