Can God create something more powerfull than him?

Can God create something more powerfull than him?

Bado hujajibu swali, sababu ulichokiandika pia kinahitaji ushahidi.

Jaribu kujibu swali nililo kuuliza.
Huwezi ukawa mzima. Mtu akikwambia hajala inatakiwa athibitishe?????
Kukosekana kwa ushahidi wa chakula ni kielelezo wazi kua chakula hakikuwepo. Hata hivo Wewe na wazungu wenu mlotuletea huo upuuzi wa vitabu vya ajabu ndo mtuthibitishie. Huwezi ukaniletea kitu kipya kwangu alafu ukataka nikufundishe matumizi yake.. Ni ukosefu wa akili.
 
Jibu kwanza swali langu kisha nikujibu swali lako.

Ila kwa dondoo ni kuwa hakuna kitu chepesi kuthibitisha uwepo wake kama uwepo wa Mungu muumba. Ukiona unadai ya kuwa Mungu hayupo, wewe upo kwenye Moja ya makundi haya au yote.

1. Una uwezo mdogo sana wa kufikiri au hufikirii kabisa bali unafikiria kitoto.
2. Umeathiriwa na falsafa za kiyunani pasi na kuhoji na kufanya utafiti.
3. Umeathiriwa na wanasayandi wakana Mungu pasi na kuhoji wala kufanya utafiti.
4. Hujitengi peke yako ukawaza juu ya uwepo wa ulimwengu na vilivyomo.
Dahhh... Ok tufanye ninauwezo mdogo wa kufikiri, lakin kama umeweza kutuma hyo coment yako bila kujali ulivoborongo point namba 3,,, unatatizo kubwa kuliko mimi

Hivi unamuongelea mungu aloletwa na watu waliokufanya mtumwa na hawakupendi siku zote!!! Vile mtu mweupe asivopenda kukaa karibu na mtu mweusi bila maslai makubwa, asinge kuletea habari za uzima wa milele mkaishi wote peponi.. Amka kitandani usingizini, umeanza kujamba jamba, soon utajinyea.
 
Mungu hapimwi uwezo wake kwa mawazo ya kibinadamu.

Mungu uwezo wake na nguvu zake ziko juu ya mambo yote yaani hakuna kiumbe chochote chenye uwezo wa kumfikia kimamlaka na uwezo.

Mungu ni muweza wa yote sababu yeye ndio chanzo cha vitu vyote vyenye nguvu na mamlaka unavyosikia wewe na usivyosikia wewe.
 
Mungu hapimwi uwezo wake kwa mawazo ya kibinadamu.

Mungu uwezo wake na nguvu zake ziko juu ya mambo yote yaani hakuna kiumbe chochote chenye uwezo wa kumfikia kimamlaka na uwezo.

Mungu ni muweza wa yote sababu yeye ndio chanzo cha vitu vyote vyenye nguvu na mamlaka unavyosikia wewe na usivyosikia wewe.
amna aliekataa hilo, swali ni kwenye hizo nguvu kuna uwezekano wa kufanya hiki?
 
Nimejibu kuwa kama Mungu kufanya hivyo kunafanya uonekane uwezo wake basi ndio anaweza.
sasa wewe unatoa jibu kwa kukaa kati kati ya mstari, apo unaweza sema ndio ama hapana alafu na maelezo kidogo
 
amna aliekataa hilo, swali ni kwenye hizo nguvu kuna uwezekano wa kufanya hiki?
Huyo shetani umetambulishwa na Mungu. Pasipo Mungu wewe usingemjua Shetani.
Sasa jiulize swali, yupi mwenye nguvu kati ya anayejificha na mwenye uwezo wa kumuona waziwazi ndio utajua nani mwenye nguvu.

1. Mungu ndio mwenyeji wa hii dunia, huyo shetani ni mletwaji tu. Hakuna alichokifanya nje na uharibifu. Sasa kama kiumbe kimehifadhiwa mahali ambapo huyo aliyemuhifadhi ndio amepatengeneza na kupaunda unataka kujiaminisha huyo Kiumbe ni mwenye nguvu kweli ?

2. Usichokijua ni kwamba. Kuna aina 2 za Ulimwengu. Ulimwengu wa kidunia na wakimbingu. Aliye na nguvu kwenye ulimwengu aina zote mbili ni Mungu pekee. Shetani yeye ana nguvu kwenye ulimwengu wa Kidunia pekee. Jibu nadhani umeshalipokea.
 
Ni kwa sababu msingi wa hilo swali haujafahamika ni upi?
sasa mkuu hilo swali mm nmelitoa kwenye hio movie ila nmeona nliulize public, hivo tuseme ni wewe umekutana na hili swali, kwa unavojua Nguvu ya Mungu utajibu vp hilo swali, tuseme ndo limekuangukia mda huu ebu tupe jibu kwa unavojua kuhusu Mungu
 
Shetani huonekana ana nguvu sana ukiangalia jinsi anavyozungumziwa hapa ulimwenguni na shetani ndio huonekana anashindana na Mungu, lakini pia shetani huyo huyo kaumbwa na Mungu.
Isaiah 45:9 in the King James Version (KJV):

"Woe unto him that striveth with his Maker! Let the potsherd strive with the potsherds of the earth. Shall the clay say to him that fashioneth it, What makest thou? or thy work, He hath no hands?"

Isaya 45:9 (Swahili Union Version - SUV):

"Ole wake yeye ashindanaye na Muumba wake! – chungu miongoni mwa vyungu vya dunia! Je! Udongo umwambie yeye aumbaye, ‘Wafanyaje?’ au kazi yake kumwambia, ‘Huna mikono’?"
 
Back
Top Bottom