Can God create something more powerfull than him?

Can God create something more powerfull than him?

Shetani huonekana ana nguvu sana ukiangalia jinsi anavyozungumziwa hapa ulimwenguni na shetani ndio huonekana anashindana na Mungu, lakini pia shetani huyo huyo kaumbwa na Mungu.
yeye hazungumzii shetani anazungumzia uwezo wa Mungu
 
yeye hazungumzii shetani anazungumzia uwezo wa Mungu
Kwa mtazamo wangu, kama kufanya hivyo kwa Mungu ndio kunaonyesha huo uwezo wake na haileti contradiction basi tuseme Mungu anaweza kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom