Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,387
- 3,158
Camfed ni watu gani hawa? Wana fanya kazi kwa utaratibu gani?
Anae wafahamu vizuri ni nani?
How comes mnamuandikisha mtoto kwenye mpango wa kumsomesha kwamba anaishi kwenye mazingira magumu bila kuwashirikisha wazazi wake?
Mimi baba Nina uwezo wa kumsomesha mtoto wangu. Ghafla naambiwa mtoto wako eti yupo chini ya Camfed?
Mlikuja saa ngapi nyumbani kwangu kuthibitisha kwamba mimi Sina uwezo hadi mumuandikishe mwanangu kwenye programs zenu?
Yani kweli Mimi kabisa nishindwe kumsomesha mwanangu shule ya Kayumba? kweli?
Matusi makubwa sana haya
Anae wafahamu vizuri ni nani?
How comes mnamuandikisha mtoto kwenye mpango wa kumsomesha kwamba anaishi kwenye mazingira magumu bila kuwashirikisha wazazi wake?
Mimi baba Nina uwezo wa kumsomesha mtoto wangu. Ghafla naambiwa mtoto wako eti yupo chini ya Camfed?
Mlikuja saa ngapi nyumbani kwangu kuthibitisha kwamba mimi Sina uwezo hadi mumuandikishe mwanangu kwenye programs zenu?
Yani kweli Mimi kabisa nishindwe kumsomesha mwanangu shule ya Kayumba? kweli?
Matusi makubwa sana haya