Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,348
- 5,977
Hapo sasa sawa...maana waliwakosakosa sana aise!haya kumekucha. Nadhani sasa watapata Akili Nzuri.
Hapo sasa sawa...maana waliwakosakosa sana aise!haya kumekucha. Nadhani sasa watapata Akili Nzuri.
naona tumebebwa na mbeleko ya video track, lakini sidhani kama tutabadilika duh.Hawa Chile nao hawana shida ya kufunga
Mkuu unataka kutuharibia uzi..si busara kuleta siasa hapa mkuu please.Chadema 1 ccm 0
Swissme
But hiyo teknolojia ya video siyo kabisa.naona tumebebwa na mbeleko ya video track, lakini sidhani kama tutabadilika duh.
ingekuwa mimi kocha ningeenda kwenye vyumba na bakora yangu ningewarushia vitu wachezaji wangu wa cameroon ili wapate Akili.duh mbona cameroon wanashambuliwa sana,tutashinda kweli!
lakini ndio imetuokoa ndugu.But hiyo teknolojia ya video siyo kabisa.
Hii teknolojia inaharibu mpira...!mijamaa inejazana kwenye video kule ndani inazingua tu.Dah! aisee goal limekataliwa na video assistant referee
nikweli kabisa Mkuu. Timu inawachezaji wanamiili mikubwa lakini wanacheza hovyo kabisa.
Tutake radhi please,kama huna akili niweweWaafrika most of us hatuna akili. Kazi yetu kula,kulala na toilet.
But inaharibu utamu pia!!lakini ndio imetuokoa ndugu.
ukiwaangalia wachezaji wetu wana kila kitu, warefu maumbo yao ni makubwa. Lakini wanashindwa kutumia vitu hivyo uwanjani.Cameroon kama watoto waliobemendwa,wanarukaruka tu uwanjani,tushukuru halftime jamaa hawajatufunga yaani nilihisi leo tunapigwa 8,bora Ivory Coast au waarabu wa Algeria
nadhani mwakani kwenye kombe la dunia ndiyo itakua mkwaju wakutunyongelea Mbali.But inaharibu utamu pia!!
Unajua sheria ni msimeno mkuu,isije ikatokea upande wetu(Cameroon)