yaani ni upumba..v sijawahi kuona. eti mnasubiri sekunde hata 30 kushangilia goli wanapoteza radha ya soka.Technology ya video Ni upuuzi mtupu nyambafu
Yah walicheza wakiwa na utulivu. Sema hawakuweza kufanya mashambulizi ya kutisha na kutunyanyua kwenye viti.Ila kipindi cha pili cameroon wamecheza vzr sana
Iko poa sana hii, zile timu za spain ndio kiboko yao hiiHii video technology ni ya kisenge
Watuondolee huu upuuzi wao aise!!!yani mpira hauna ata raha tena aise.yaani ni upumba..v sijawahi kuona. eti mnasubiri sekunde hata 30 kushangilia goli wanapoteza radha ya soka.
Mkuu ile sheria ya goli la dhabu ilikua inang'ata kotekote mkuu.Ingawa iliwahi kunitoa machozi mwaka 1997!!dakika 30 za nyongeza jamaa wakamaliza game dk ya 8 tuu!Mbona ipo poa tu...timu nyingi zilikuwa zikionewa kwa kukosekana uamuzi makinifu...
Sheria ya ajabu niliyopata kuiona na bora ilifutwa haraka ni ile ya goli la dhahabu daaah...(ingawaje niliipenda wakati mmoja tu ambapo Senegal ilimtwanga Denmark na kuichukia zaidi hatua iliyofuata kwa Turkey kuitoa Senegal...)
inapoteza radha alf referee wa kati anakua kma boya tuIko poa sana hii, zile timu za spain ndio kiboko yao hii
Mkuu ile sheria ya goli la dhabu ilikua inang'ata kotekote mkuu.Ingawa iliwahi kunitoa machozi mwaka 1997!!dakika 30 za nyongeza jamaa wakamaliza game dk ya 8 tuu!