Nyie ccm mnaipeleka wapi nchi?Watakucheka mno, si unaona wapenda haki wanavyo simangwa. Kikubwa mtindo wa sasa ni hela mkononi, iba iba iba iba iba ukipata nafasi, hakuna atakaye kuonea huruma usipoiba na hakuna atakayekupongeza kwa kuwa muadilifu, badala yake ukitoka tu watasema mnoko kaondoka watafanya sherehe na ikiwezekana watakuua kama Dkt Magufuli halafu waanze kushangilia kama Zitto