Mie uwa namuuliza ulikuwa unaongea na nani? Akiniambia mama au baba au dada,kinochofuata ni kumpigia mchizi wangu wa kampuni ya cm namwambia ebu niangalizie namba ilikuwa inaongea na nani,then akinitajia naangalia kweli hyo namba aliyosema anaongea nayo ni ya mama/baba/dada? Kama ndio napiga kimya kama sio naangalia imesajiriwa kwa jina gani kama m/me namie natafuta wa pembeni tunaenda ngoma droo kama mbwai mwbai akimwaga ugali nami namwaga mboga amani kwa kaka voda.