DERICK2000
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 203
- 35
zaidi ya bikra mwenye ukwimwi, licha ya kuniona hataki hata kunskia
c bure mna mengine mengi mme boana.kaa vipi,kila mtu achukue ustaarabu wake...:llama:
zaidi ya bikra mwenye ukwimwi, licha ya kuniona hataki hata kunskia
c bure mna mengine mengi mme boana.kaa vipi,kila mtu achukue ustaarabu wake...:llama:
Possibly YES OR NO..anaejua ni wewe na yeye jinsi mnavyoendesha mapenzi yenu...Mapenzi ni maelewano..kama hamna hivyo.Dont force.:flypig:
JOCATE DIAMOND..
ok Mrs Diomond you are true but also angetuambia vizuri because this is one side of the story. Imagine kuongea na simu tu kulete ugomvi wa 3 days?????????? siamin. to me there is something more than that and th boy might be the reason.
ok Mrs Diomond you are true but also angetuambia vizuri because this is one side of the story. Imagine kuongea na simu tu kulete ugomvi wa 3 days?????????? siamin. to me there is something more than that and th boy might be the reason.
may be bt me sina tatizo na yeye au tuseme kuna long term cause
Wht do u mean..long term cause???..
labda alinifugia hasira kitambo ndo kazimalizia kwenye call waiting,au alishaskia mambo meng kuhusu mm so anaona bora yeshe
Sasa unasubiri nini kumuacha? Fanya fasta muache kabla hajakuacha!hata nafas ya kumuuliza hataki kunipa ye anachotaka ni kuachana 2.
Khaaa.....!ok Mrs Diomond you are true but also angetuambia vizuri because this is one side of the story. Imagine kuongea na simu tu kulete ugomvi wa 3 days?????????? siamin. to me there is something more than that and th boy might be the reason.
tabibumtaratibu, daima hutibu taratibu na kwa uhakika nakushangaa wewe unayeshindwa............lolmay be bt me sina tatizo na yeye au tuseme kuna long term cause
Khaaa.....!
Afu we mbona umenikimbia kwenye mtongozo wangu kule PM? Sichezi tena na wewe:hat:wewe sasa khaa.................! yanini? nitakuita Diclopar sasa manake umezidi .....................lol
Afu wewe! Usinione nipo kimya, nakusubiri uropoke.....tell her to grow up
Afu we mbona umenikimbia kwenye mtongozo wangu kule PM? Sichezi tena na wewe:hat:
hataki hata kupokea simu, nikituma sms sijui anaisoma ila hajibu ki2.Yaan... We acha 2 niko njia panda