karma alvin
Member
- Jan 9, 2013
- 51
- 8
kuna uwezekano wa kutuma cv erolink kupitia e mail?
maana wengine wapo mikoani
maana wengine wapo mikoani
panda gari linalokwenda mwenge shika moroco airtel chukua bodaboda hadi office zao zilipo ni 1000 tu ukitumia bodaboda.
Jamaniiiii tuliomikoani tunafanyaje kutuma? vipi swali la ndugu hapo juu unawezatuma hata kwa email? vipi tutapataje email yao?
ilinichukua kama 2 weeks endelea kusubiri huku ukiangalia michakato mingine
Erolink c wana office mwenge au wamehama??,,nijuzen wadau nataka nipeleke cv
Kweli ajira ngumu. Ila km mtu anaweza kukubaliana na masharti ya erolink unafanya 2. Lkn ki ukweli ninkm unawafanyia wao mana mshahara unapitia kwao then ndo kwako.