Call centers and customer service huwa wanaajiriwa vipi?

Call centers and customer service huwa wanaajiriwa vipi?

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,905
Reaction score
4,940
Habari wanabodi..
Kuna haya makampuni ya simu kama HALOTEL, airtel, tigo na vodacom pamoja na yote yaliyobakia.je yanaajiri vipi Hawa watu wa call centre's?
WENGINE wanasema hizi kampuni zime-outsource kampuni zingine kuajiri kwa niaba Yao mfano elolings na Kadhalika.
Naomba yeyote mwenye kujua jinsi ya kujiunga na hizi nafasi za call centre's kwenye haya makampuni anisaidie.
 
Wanaajiriwa kupitia recruitment agencies kama Ison ambao wanasimamia customer care call center ya hallotel na airtel

Kwahyo peleka applicatiion kwa hizo recruitment agencies zinazosimamia call center ķwa niaba ya kampun ya simu
 
Wanaajiriwa kupitia recruitment agencies kama Ison ambao wanasimamia customer care call center ya hallotel na airtel

Kwahyo peleka applicatiion kwa hizo recruitment agencies zinazosimamia call center ķwa niaba ya kampun ya simu
Ninazozijua mm ni mbili tu "Ison Bpo na PCCI" ila Pcci ni kampuni bora kuliko ison..
 
Nipigie 0692470547/0658276181
Habari wanabodi..
Kuna haya makampuni ya simu kama HALOTEL, airtel, tigo na vodacom pamoja na yote yaliyobakia.je yanaajiri vipi Hawa watu wa call centre's?
WENGINE wanasema hizi kampuni zime-outsource kampuni zingine kuajiri kwa niaba Yao mfano elolings na Kadhalika.
Naomba yeyote mwenye kujua jinsi ya kujiunga na hizi nafasi za call centre's kwenye haya makampuni anisaidie.
 
Back
Top Bottom