Calculation ya kodi iangaliwe upya

Calculation ya kodi iangaliwe upya

NInajionea majanga tu wanauma na kupuliza zile taaluma zao wameziweka pembeni umebaki unafiki tu na kupenda pesa kuliko utu.
Yes , yaan pale hakuna utu narudia na sifichi jina JKIA hawana calculations nzuri
 
Naanza kwa kusema kuwa mi ni mwanachama wa CCM tokea mwaka 2002 na mwanachama hai kabisa,
Usomaji wa namba huu unatuumiza watu wengi sana tena ambao ni wachanga katika biashara, binafsi sipendezwi na jinsi mtu anavyokamuliwa hela ya kutosha hasa kama unaingiza vitu kutoka nje, sijapenda kabisa
1. Pale airport dar es salaam, mtu ukiwa na mzigo wa sh 38,000,000 kodi ya kutozwa ni zaid ya milion 10 hela ambayo nimekuwa nikitozwa mpaka kushangaa, hii inaumiza sana , maana ukamuaji huu umepitiliza sasa,

Nina evidence za kutosha, jana mzigo umekuwa cleared airport, thaman yake ni sh 62,500,000 lakin nashangaa nimetozwa hela 43% kama malipo ya hapa na pale, TBS 15% TRA 18% Sijui cargo clearance fee asilimia kadhaa, sijui argent fee, jumla nimelipa ths 26,300,000 sasa hapo tunaumizana sasa vitaftwe vyanzo vingine tofauti na kubana sisi ambao ndo tunaansa alafu mnatukamua, pia sitaki kutaja mazingira mengine yalotokea pale ya kitu kidogo maana nikiwataja watashindwa kunipitishia mzigo Wangu tena na saa nyingine kubambikiwa kesi ya madawa au nyara za serikali

Kwa trend hii naona mheshiniwa BADO ANA KAZI KUBWA YA KUFANYA KUVUMBUA VYANZO VINGINE VYA KODI, japo nasisi inabidi kulipa kodi stahiki,
Kwa kodi hiyo bado unataka tu vivumbuliwe vyanzo vingine vya mapato?Mbona naona vinajitosheleza?Kama wewe mmoja umeweza kulipa kodi yote hiyo mkipatikana 50,nadhani mnaweza kutuendeshea wizara!!!!!!!!!
 
Hatupaswi kutegemea siasa mojakwamoja ili tupate maendeleo ya mtu mmoja mmoja ila kumbuka siasa safi ndio msingi wa maisha bora kwa mwananchi.
wewe muda huu unalalamika kuwa wanakupiga hela sana sasa uoni impact ya siasa hapo ambayo tena inagusa maisha yako moja kwa moja tusijidanganye kuwa siasa tuwaachie wanasiasa mimi nina amini siasi kwa upande mmoja inaweza amua maisha ya mwananchi.
Mfano leo hii mimi nalima lkn kwa kuwa tu, tuna siasa mbovu pembejeo za kilimo nazipata kwa shida, mara ziwe feki haya baada ya kutoa mazao shambani nakuja kukutana na soko bovu ushuru kila mahali sasa hapo mimi ntajikwamua vipi na maisha yangu mkuu
Tatizo baadhi ya watanzania wanaidharau siasa,siasa ni sawa na nguo uwezi kuikwepa lazima uivae,siasa inakuweka huru na usiseme kumwachia mwanasiasa siasa yake,matokeo ya maisha ni siasa,kwa iyo mkono wa kulia weka maisha yako ya kawaida upande mwingine weka siasa,tusiwe wavivu kuifatiria siasa na kuichambua,hayo ndo maisha,na tusikwepe kupiga kura,
 
Nyie si ndiyo mlikuwa mnasema, watu wanaolilia ni wapiga dili? Unaonekana na ww ni mpiga dili

kodi muiweke wenyew halafu bado mwana CCM analalamika huu si ujinga kbsa. Ww waoneshe kadi ya ccm tu utapitisha mizigo yako bure kbsa.

KUMBE NA WANACCM WANAISOMA NAMBA. MM NILIFIKIRI WAPINZANI TU
 
Mi sifichi siwez kupigia kura mtu asiye na nia njema katika uongizi wake, nakomea hapa
Pole sana. Hakuna jipya chini ya uongozi wa ssm.
Mwaka 1 tunaanza kulalamika hiv. Bado miaka 4 namba lazima zisomeke mpaka za kichina
 
Licha ya ya hiyo ukiweka invoice wanaikataa wana angalia na kukadiria bei ya bidhaa wanatia calculations zao. Siyo haki kabisa yaan siyo haki , mzigo unaununua TSH 45,000,000 Usafiri 8,000,000 then hapa wakutoze million 21 kodi wakati calculation zako mzigo uuze 62,000,000 hii si fair
Kwenye database yao wana bei ya karibu kila kitu,hivyo hata kwenye invoice ukiweka bei ndogo wakirefeer kwenye database yao kodi wanaipandisha
 
Kwenye database yao wana bei ya karibu kila kitu,hivyo hata kwenye invoice ukiweka bei ndogo wakirefeer kwenye database yao kodi wanaipandisha
Wala hatujaweka ndogo, ishu ni kwanini inakuwa kodi kubwa
 
Wala hatujaweka ndogo, ishu ni kwanini inakuwa kodi kubwa
Kwa uelewa wangu kodi ya vitu kuna fomular yake ya kukokotolea kodi husika,sio kwamba hua wanaamua tu,ukipita clearing agent mzuri hizi formula wanazijua
 
Naanza kwa kusema kuwa mi ni mwanachama wa CCM tokea mwaka 2002 na mwanachama hai kabisa,

Usomaji wa namba huu unatuumiza watu wengi sana tena ambao ni wachanga katika biashara, binafsi sipendezwi na jinsi mtu anavyokamuliwa hela ya kutosha hasa kama unaingiza vitu kutoka nje, sijapenda kabisa

1. Pale airport dar es salaam, mtu ukiwa na mzigo wa sh 38,000,000 kodi ya kutozwa ni zaid ya milion 10 hela ambayo nimekuwa nikitozwa mpaka kushangaa, hii inaumiza sana , maana ukamuaji huu umepitiliza sasa,

Nina evidence za kutosha, jana mzigo umekuwa cleared airport, thaman yake ni sh 62,500,000 lakin nashangaa nimetozwa hela 43% kama malipo ya hapa na pale, TBS 15% TRA 18% Sijui cargo clearance fee asilimia kadhaa, sijui argent fee, jumla nimelipa ths 26,300,000 sasa hapo tunaumizana sasa vitafutwe vyanzo vingine tofauti na kubana sisi ambao ndo tunaansa alafu mnatukamua, pia sitaki kutaja mazingira mengine yalotokea pale ya kitu kidogo maana nikiwataja watashindwa kunipitishia mzigo Wangu tena na saa nyingine kubambikiwa kesi ya madawa au nyara za serikali

Kwa trend hii naona mheshiniwa BADO ANA KAZI KUBWA YA KUFANYA KUVUMBUA VYANZO VINGINE VYA KODI, japo nasisi inabidi kulipa kodi stahiki,
Pole sana.Wewe si mfanyabiashara wa Leo ndo umeanza kiasi uagize mzigo wa thamani hiyo.

Sasa tuambie zamani ulikuwa unalipaje hiyo Kodi? Maana hakuna mabadiliko ya calculation ya Kodi ni ile ile toka zamani.
 
Licha ya ya hiyo ukiweka invoice wanaikataa wana angalia na kukadiria bei ya bidhaa wanatia calculations zao. Siyo haki kabisa yaan siyo haki , mzigo unaununua TSH 45,000,000 Usafiri 8,000,000 then hapa wakutoze million 21 kodi wakati calculation zako mzigo uuze 62,000,000 hii si fair
***
KUKADIRIA KODI NI UHUNI NAMBA MOJA. KWANI KAZI ZA MABALOZI HUKO UGHAIBUNI NI NINI?,HILI LA VERIFICATION ILIPASWA LIONGEZWE KATIKA MAJUKUMU YAO./
 
Kwenye database yao wana bei ya karibu kila kitu,hivyo hata kwenye invoice ukiweka bei ndogo wakirefeer kwenye database yao kodi wanaipandisha
***
hiyo Database inawalakini au haipo sawa.../ unataka kuniambia ina bei ya bidhaa mpya,secondhand, kila pahala ? / maana bidhaa secondhand huwa zina differ zipo zilizotumika kidogo,kutumika mno.../ ambapo huwa na bei zinazopishana / hapa wanafanyaje?
 
***
hiyo Database inawalakini au haipo sawa.../ unataka kuniambia ina bei ya bidhaa mpya,secondhand, kila pahala ? / maana bidhaa secondhand huwa zina differ zipo zilizotumika kidogo,kutumika mno.../ ambapo huwa na bei zinazopishana / hapa wanafanyaje?
Kila kitu kipo huko,kiwe kipya au used kodi yake ipo
 
Naanza kwa kusema kuwa mi ni mwanachama wa CCM tokea mwaka 2002 na mwanachama hai kabisa,

Usomaji wa namba huu unatuumiza watu wengi sana tena ambao ni wachanga katika biashara, binafsi sipendezwi na jinsi mtu anavyokamuliwa hela ya kutosha hasa kama unaingiza vitu kutoka nje, sijapenda kabisa

1. Pale airport dar es salaam, mtu ukiwa na mzigo wa sh 38,000,000 kodi ya kutozwa ni zaid ya milion 10 hela ambayo nimekuwa nikitozwa mpaka kushangaa, hii inaumiza sana , maana ukamuaji huu umepitiliza sasa,

Nina evidence za kutosha, jana mzigo umekuwa cleared airport, thaman yake ni sh 62,500,000 lakin nashangaa nimetozwa hela 43% kama malipo ya hapa na pale, TBS 15% TRA 18% Sijui cargo clearance fee asilimia kadhaa, sijui argent fee, jumla nimelipa ths 26,300,000 sasa hapo tunaumizana sasa vitafutwe vyanzo vingine tofauti na kubana sisi ambao ndo tunaansa alafu mnatukamua, pia sitaki kutaja mazingira mengine yalotokea pale ya kitu kidogo maana nikiwataja watashindwa kunipitishia mzigo Wangu tena na saa nyingine kubambikiwa kesi ya madawa au nyara za serikali

Tunaingizwa hasara sana, maana mpaka sasa mizigo yangu imekwama, na mbaya zaid storage fee unaendelea kuwa kubwa kisa kodi zisizo eleweka,

Mi naona wangekuwa waungwana tu

Kwa trend hii naona mheshiniwa BADO ANA KAZI KUBWA YA KUFANYA KUVUMBUA VYANZO VINGINE VYA KODI, japo nasisi inabidi kulipa kodi stahiki,
Pole sana mkuu.Ila majamaa ya ccm si unajua uchumi na wao ni kitu tofauti.Si unajua ni wale wanafunzi walikuwa wakisema uchumi ni nouma kuliko sayansi.Ndio sasa ipo pale juu. Hii ukiikuta siku imeshiba itakuambia km huwezi acha.Na kesho yake wana mswada wa kupiga marufuku watu wenye mitaji ya kunywa bia.Matokeo yake wazawa mnabadili biashara km sio kufunga,wahidi wanaonekana kuwa na mtaji mkubwa ndio wanaachiwa soko.Mwaka unaofuatia unakuta hii mijamaa haijui kwanini kodi imeshuka.Inaanza maelezo yao ya kuvuta.Unajua dola imepanda nor imeshuka, dhidi ya shilling. Kw aujumla mijamaa haipendi kodi endelelevu.Wanataka leo tuu hata kesho isipokuwepo poa tuu kesho itajijua.
 
Back
Top Bottom