CAG Vs SPEAKER: Mgogoro usio wa lazima

Hilo neno hata lisipokuwepo kwenye report sio ishu sana yeye alikua anafanya majumuisho na maoni yake kwa experience aliyofanya kazi na bunge na pia kusemea ndani au nje ya nchi sio kusengenya uhuru wa kuongea hauangalii eneo kama angekua kateleza angeomba msamaha lakini mbona anasisitiza kuendelea kulitumia.weka pembeni taaluma ya mtu na siasa ndio shida yetu watz tunashindwa hapo.
 

Kutoa vielelezo eti kuthibitisha uimara wa bunge, it's too long way to go....

Busara ya watu wazima na wasiopenda kujikweza ama kujiinua, ilikuwa kusema (kama angeulizwa).....

".....nimemsikia CAG wetu akirusha lawama kwetu kuwa sisi kama taasisi, tuna udhaifu wetu.......

Mimi kama kiongozi wa taasisi ya bunge, nakubali kuwa hutuwezi kuwa wakamilifu, inawezekana kabisa tukawa na mapungufu yetu yanayoitwa "madhaifu yetu"........

Na kwa kuwa, CAG haja sight specific ulipo udhaifu wetu, nashindwa kujitetea moja kwa moja unless aki - sight maeneo ulipo udhaifu wetu, hapo naweza kutoa maoni yangu na Mimi......"


Sasa huyu mzee wetu (Job Ndugai - Spika wa Bunge), kwa sababu ambazo actually mpaka sasa watu wenye hekima, hawajaona sababu za mwitikio wake mkuu huu namna hii tena ukiwa hasi kabisa kiasi ambacho ameiingiza taasisi yote ya Bunge kwenye mgogoro ambao hata haukuwa na ulazima....

Very unfortunately kuwa hili lilitokea wakati ndani ya Bunge kukiwa na wabunge wenye uzoefu, wanasheria kama Andrew Chenge pamoja na mwanasheria mkuu wa Bunge na wa serikali kwa wakati mmoja ambao wangeweza kushauri namna bora ya kulitatua jambo hili....

Na moja ya jambo ilikuwa ni kumweleza Spika Ndugai kuacha Mara moja kuli - drag bunge kwenye ishu ambayo direct inaonesha kuwa ni "personal vendetta" baina ya Spika na MTU aitwaye Prof Assad....!!

This is really too bad.......
 
Hata mimi nilishtuka sana. Rais amekuwa mbunge lini? Kwa mfano akisaini hitma ya mtu aliyehukumiwa kifo atakuwa mahakama?Ndugai nasikia ni mwanasheria ametoa wapi akili hiyo?
Mwache Rais a hape kazi yake! Usimletee madudu yako!
 
Yebaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mku naona hukunipata vizuri hoja yangu. Nachosema ni hivi neno Udhaifu ni kawaida sana kama amekagua tasisi akakuta mapungufu na ndo madhaifu ya kuyafanyia kazi. Na kwa mantiki hiyo Prof.Assad anakuwa sahihi.
Lakini kama mimi hujaja kunikagua katika uwanja au eneo husika, huwezi kunambia kwamba nina udhaifu katika eneo hilo hapo ni tusi kwangu. Mana ukisema nina udhaifu katika ukaguzi, lazima uwe na vielelezo jinsi navyo paswa kufanya kazi na hali halisi ulioikuta wakati waukaguzi.
Ndo maana nkauliza, kwani ripoti ya CAG ya ukaguzi kuhusu Bunge, iliyasema humo ndani ya ripoti yake au aliona aende kuyasema huko kwa Wazungu?
 
Mnanishangaza Sana mnavyotekwa kirahisi na kutegeka.kwa hiyo mnaamini Kuna siku spika atakuwa na beef na CAG?Wote hao Ni maofisa wa serikali na msifikiri kwamba hawapigiani simu Kuongea pamoja.kazi zao zote Ni kwa ajili ya watu.msipoteze nguvu zenu kuhadaika na michezo ya kisiasa tu mwishowe mnaingia king baadae kick ikipatikana mnabaki nyie kuaibika.come one!wake up brothers.
 
Ngoma mbichi mkuu.

Unafikiria karibu sana.hii ngoma unavyoiona ndivyo ilivyo hivyo hivyo wala haijatiwa mkono

Na siaijii kaamua liwe liwalo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rejea kichwa cha habar hapo juu cha husu neno `DHAIFU' huu mkanganyiko hata humu wanabodi mnachanganya mambo, tutofautishe kati ya taasisi , mhimili NA MTU binafsi. CAG alilenga mhimili wa bunge , kwahyo CAG alikosea kutamka mhimili flani ni dhaifu. Nani kampa hayo mamlaka ya kufanyia tathmini bunge ? Nanyi humu mnashagilia! Kama VP mjiite nyie wenyewe neno DHAIFU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu sisi kila siku tunaitwa wanyonge mbona hatununi? dhaifu ni synomy ya nyonge hivyo yana maana sawa.
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge ni dhaifu na Ndugai ni dhaifu zaidi.
 
Ninyi ni baadhi ya wajinga wachache mnao mjaza ujinga spika na bunge lake

udhaifu upo popote pale na taasisi yeyote ile yaweza kuwa dhaifu kama haitekelezi wajibu wake ipasavyo na jina hilo limeitwa kwenye taasisi nyingi tena zingine zimeambiwa mazito zaid ya hilo la udhaifu

Ni ujinga na uwendawazimu nchi nzima kuhangaika na jambo jepesi kama hili na kuacha mambo ya msingi yenye manufaa kwa taifa
 
Moja:TAASISI STRONG HAIWEZI CHAGUA KIONGOZI DAHAIFU.Pili: Muhimili wa Bunge,Muhimili wa mahakama na Muhimili ule uliojichimbia chini-wote boss wao ni wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao wanaitwa WANYONGE au DHAIFU na wanapiga vigelegele kweli,sasa sijui bunge linaundwa na watu wa nchi gani? Tatu:-Kama bunge kama taasisi halina uwezo wa kufanya kazi zake basi ni dhaifu.
 
Usilete siasa kwenye taaluma, muulize CAG sababu za kusema hivyo, au muulize daktari aliyekupima kusema wewe Ni mgonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe ni kiwete tegemea kuitwa kiwete, na huo ndio ukweli wala hakuna tusi hapo.
 
Kiukweli katiba yetu ina upungufu inaitaji marekebisho ya haraka.There is great need for separation of powers of 3 pillars.Spika hatakiwi awe kada wa chama chochote.Haiwezekani referee wa kuchezesha mpira Simba na Yanga akatoka klabu mojawapo .akajifanya referee mzuri hapo impartiality hatakuwepo daima malalamiko hayataisha ikiwa nchi yetu itakazania kutumia katiba ya sasa iliyotungwa kwa mfumo wa chama kimoja.Hata hii iliyopo inakuwa abrogated je ni mfumo hupi wa uongozi tunaufuata?
 
Kaka naona hukuelewa udhaifu unaozungumziwa si kwamba ukaguzi wa bunge ulifanyika na kukutwa udhaifu,udhaifu aliousema CAG ni ule ambao bunge limeshindwa kuisimamia serikali katika kuhoji matumizi ya fedha za kodi za wananchi.Bunge linapaswa kuihoji serikali kila senti iliyokusanywa imetumikaje.ndio wajibu wake KUISIMAMIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…