OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,694
- 106,063
CAG: NGORONGORO ILITUMIA TSH. MILIONI 278.42 KUKARABATI NDEGE YENYE MIAKA 47
Kupitia Daftari la Mali za Kudumu za Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, CAG alibaini kuwa Mamlaka inamiliki ndege aina ya CESSNA 182P yenye Namba za Usajili 5H-MPZ
Ndege hii kufikia Juni 30, 2021 ilikuwa na miaka 47 na ambayo ilikusudiwa kuwezesha doria za usalama ndani na karibu ya Eneo la Hifadhi
Amesema kuwa kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2018/2019 hadi 2020/21, Mamlaka ilipanga ndege hiyo ifanye safari kwa saa 900 kwa ajili ya doria za ulinzi lakini iliweza kufanya safari kwa saa 18 tu (asilimia 2) wakati gharama za matengenezo zilizotumika zilikuwa Tsh. 278,420,000
Kupitia Daftari la Mali za Kudumu za Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro, CAG alibaini kuwa Mamlaka inamiliki ndege aina ya CESSNA 182P yenye Namba za Usajili 5H-MPZ
Ndege hii kufikia Juni 30, 2021 ilikuwa na miaka 47 na ambayo ilikusudiwa kuwezesha doria za usalama ndani na karibu ya Eneo la Hifadhi
Amesema kuwa kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2018/2019 hadi 2020/21, Mamlaka ilipanga ndege hiyo ifanye safari kwa saa 900 kwa ajili ya doria za ulinzi lakini iliweza kufanya safari kwa saa 18 tu (asilimia 2) wakati gharama za matengenezo zilizotumika zilikuwa Tsh. 278,420,000