Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
CAG amependekeza nafasi yake iwe ya kuchaguliwa badala ya ilivyo ya kuteuliwa na Rais.
Akifafanunua zaidi, kuwa taatifa zake haziishii kwa Rais bali bunge la JMT na kusisitiza ni bora awe anachaguliwa toka huko.
Ukiichunguza kauli hii ya CAG kitaalamu ni kama anataka uhuru zaidi katika utendaji wake wa kazi tofauti na ilivyo sasa kwa kuwa mteule wa Rais ni kama kama ina "impair independence" yake.
Wadau nini maoni yenu kuhusiana na kauli hii ya Uttoh??
Akifafanunua zaidi, kuwa taatifa zake haziishii kwa Rais bali bunge la JMT na kusisitiza ni bora awe anachaguliwa toka huko.
Ukiichunguza kauli hii ya CAG kitaalamu ni kama anataka uhuru zaidi katika utendaji wake wa kazi tofauti na ilivyo sasa kwa kuwa mteule wa Rais ni kama kama ina "impair independence" yake.
Wadau nini maoni yenu kuhusiana na kauli hii ya Uttoh??