Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
Kwa hili hapana, Prof Assad hajalidhalilisha bunge, hata kidogo, kusema ukweli na bwana Ndugai kuwa na mihemko kumeleta haya yote..Tukubali kukoselewa Watanzania, hasa viongozi wetu, hatutakufa wajameni!
Huyu ndiye CAG bora wa muda wote nchini Tanzania ambaye aliibua madudu na kuzifanya taasisi za umma kushughulikia ufisadi na kuanza kuuchukia kwa dhati ufisadi.
He did it professionally na hakuwahi kuichukiza taasisi yoyote na hakuwahi kuchukiwa na taasisi au mtu yoyote zaidi aliheshimika sana hadi leo baada ya kustaafu.
ndo walivomujoji ndo alivotoa maana ya hilo neno au umebashiri Mkuu. ....yy kasema katumia lugha ya kimahesabu ambayo a tak wene ripoti zake hilo neno lipo sasa tukuelewe ww au mtamkaji